Mtamaliza mabucha nyama ni ile ile

Mzalendo Mkuu

JF-Expert Member
Nov 2, 2010
735
191
Utamaliza mabucha nyama ni ile ile ni mzemo mashuhuri sana katika jamii na mara nyingi hutolewa na ile jinsi pinzani ambayo kwa siku za karibu imepanda chati sana hapa Tanzania.
Kwa maoni yangu msemo huu umekaa katika hali ya kiuvivu sana. Kimantiki, katika hali ya bucha za kawaida nyama hutofautiana kutegemea na aina ya nyama (hapa tunaongelea nyama ya ng’ombe tu). Kuna nyama ya ng’ombe wa Maziwa na wale wa nyama na radha ya nyama hizi hutofautiana sana.
Lakini pia kuna nyama ya ng’ombe wa kienyeji wanaotoka Usukumani au Ukuryani na wale wanaotoka kwenye Ranchi hasa pale Kongwa. Ni wazi kuwa nyama ya Ngombe wa Kongwa na Shinyanga ni tofauti na sababu ziko nyingi na wazi. Matunzo, mazingira, na kubwa zaidi ni Maumbile! Kama vile ambavyo nyama hiyo inatofautiana ndiyo bucha zake zitakavyovutia watu tofauti kutokana na sababu za hapo juu.

Kwa upande wa zile Bucha zile nyingine (kwani nazo ni bucha kweli? Teh teh teh )hali ni hivyo hivyo, matunzo, mazingira na Maumbile ni vitu muhimu sana. Nawaasa wauzaji wake waache uvivu, warekebishe matunzo, mazingira na mambo yatakuwa sawa. Tusirahishe mambo sisi walaji tunaona tofauti kati ya nyama ya bucha moja na nyingine kutogemeana na kama inatoka Maswa au Kongwa!.
 
Utamaliza mabucha nyama ni ile ile ni mzemo mashuhuri sana katika jamii na mara nyingi hutolewa na ile jinsi pinzani ambayo kwa siku za karibu imepanda chati sana hapa Tanzania.
Kwa maoni yangu msemo huu umekaa katika hali ya kiuvivu sana. Kimantiki, katika hali ya bucha za kawaida nyama hutofautiana kutegemea na aina ya nyama (hapa tunaongelea nyama ya ng'ombe tu). Kuna nyama ya ng'ombe wa Maziwa na wale wa nyama na radha ya nyama hizi hutofautiana sana.

Good observation...........na ndiyo maana wengi hawautilii maanani msemo huo..................
 
Utamaliza mabucha nyama ni ile ile ni mzemo mashuhuri sana katika jamii na mara nyingi hutolewa na ile jinsi pinzani ambayo kwa siku za karibu imepanda chati sana hapa Tanzania.
Kwa maoni yangu msemo huu umekaa katika hali ya kiuvivu sana. Kimantiki, katika hali ya bucha za kawaida nyama hutofautiana kutegemea na aina ya nyama (hapa tunaongelea nyama ya ng'ombe tu). Kuna nyama ya ng'ombe wa Maziwa na wale wa nyama na radha ya nyama hizi hutofautiana sana.
Lakini pia kuna nyama ya ng'ombe wa kienyeji wanaotoka Usukumani au Ukuryani na wale wanaotoka kwenye Ranchi hasa pale Kongwa. Ni wazi kuwa nyama ya Ngombe wa Kongwa na Shinyanga ni tofauti na sababu ziko nyingi na wazi. Matunzo, mazingira, na kubwa zaidi ni Maumbile! Kama vile ambavyo nyama hiyo inatofautiana ndiyo bucha zake zitakavyovutia watu tofauti kutokana na sababu za hapo juu.

Kwa upande wa zile Bucha zile nyingine (kwani nazo ni bucha kweli? Teh teh teh )hali ni hivyo hivyo, matunzo, mazingira na Maumbile ni vitu muhimu sana. Nawaasa wauzaji wake waache uvivu, warekebishe matunzo, mazingira na mambo yatakuwa sawa. Tusirahishe mambo sisi walaji tunaona tofauti kati ya nyama ya bucha moja na nyingine kutogemeana na kama inatoka Maswa au Kongwa!.



hakika wewe ni mzalendo mkuu!!!!!!!
 
hakika nyama zinatofautiana hata vidole ebo hata watunzaji sidhani kama wanakuwaga na recipe zinazofanana

Utamaliza mabucha nyama ni ile ile ni mzemo mashuhuri sana katika jamii na mara nyingi hutolewa na ile jinsi pinzani ambayo kwa siku za karibu imepanda chati sana hapa Tanzania.
Kwa maoni yangu msemo huu umekaa katika hali ya kiuvivu sana. Kimantiki, katika hali ya bucha za kawaida nyama hutofautiana kutegemea na aina ya nyama (hapa tunaongelea nyama ya ng’ombe tu). Kuna nyama ya ng’ombe wa Maziwa na wale wa nyama na radha ya nyama hizi hutofautiana sana.
Lakini pia kuna nyama ya ng’ombe wa kienyeji wanaotoka Usukumani au Ukuryani na wale wanaotoka kwenye Ranchi hasa pale Kongwa. Ni wazi kuwa nyama ya Ngombe wa Kongwa na Shinyanga ni tofauti na sababu ziko nyingi na wazi. Matunzo, mazingira, na kubwa zaidi ni Maumbile! Kama vile ambavyo nyama hiyo inatofautiana ndiyo bucha zake zitakavyovutia watu tofauti kutokana na sababu za hapo juu.

Kwa upande wa zile Bucha zile nyingine (kwani nazo ni bucha kweli? Teh teh teh )hali ni hivyo hivyo, matunzo, mazingira na Maumbile ni vitu muhimu sana. Nawaasa wauzaji wake waache uvivu, warekebishe matunzo, mazingira na mambo yatakuwa sawa. Tusirahishe mambo sisi walaji tunaona tofauti kati ya nyama ya bucha moja na nyingine kutogemeana na kama inatoka Maswa au Kongwa!.
 
Msemo huu unamaanisha hata kama unakula nyama zenye radha tofauti lakini bado ni nyama na hauzungumzii radha bali msingi wake ambao ni NYAMA.
 
sasa watu wanafuata TASTE na si NYAMA tuu, maana mishkaki inakuwa mitamu zaidi kuliko nyama ya kuungwa au ya mchuzi wanaita. so mkuu TASTE matters a lot!!!
 
He! kumbe mabucha tofauti na nyama ni tofauti, umesema kuna tofauti ya matunzo, maumbile, mazingira, hivi umetaja na ladha ee. Mi naona wangesema utazunguka mabucha yote lakini utamu wa nyama unategemea mpishi.. eti ee....wewe huoni kama ladha ni muhimu zaidi katika mchakato mzima wa kula hiyo nyama, maana unaweza ukanunua nyama 'bucha ya ukweli' lakini mapishi yakawa hovyo ukashindwa hata kuenjoy hiyo nyama yenyewe, na mtu anaweza akanunua nyama kibucha cha hovyo hovyo lakini akakaangiza ukashindwa hata kuamini kama amenunulia bucha ile au.......
 
kumbe hata nyama za ng'ombe mmoja zinautofauti wa taste?

ee.., hujui kama kuna kidali, kiuno, salala, jembe, nundu, mkia, steki na nyingine ambazo sizijui, hizi zote zina taste tofauti, na upishi wa mtu mmoja na mwingine hufanya hiyo hiyo nundu iwe na ladha tofauti tofauti, kwa hiyo achilia mbali sehemu za nyama ya ng'ombe bali na mapishi pia hubadilisha ladha.
 
Yaap mapishi yana uzito wake Yahkeee, na kwa bongo haijifichi, wapishi wa pwani kama Tanga etc na wa sehemu kama dodoma etc tofauti ni kubwa saana maana kuna viungo kama nazi na hiliki vikichanganywa aibu.
 
Nimeshalisema hili mara nyingi sana hapa jamvini. Umeshawahi kuona watu wanavyogombea nyama ya kongwa? Wanaigombea kwa sababu wanaifahamu ni nyama laini haina uchafu mwingi na ladha yake ni nzuri sana ukilinganisha na nyama nyingine. Ni msemo tu wa kujifurahisha na kutaka kuonyesha katika mabucha yote nyama ni ile ile lakini ukweli ni kwamba kuna tofauti kubwa ya usafi wa nyama, ladha, ulaini katika bucha moja hadi nyingine.

 
huu msemo umeshapitwa na wakati sana,unafikiri ngombe wa Dodoma anaweza kuwa na ladha sawa na wa uchagani anayeletewa kila kitu ndani
 
Hata nyama ya koo na mtamba ni tofauti pia...
Tofauti saaaaana mbona. kuna nyama nyembamba na paaana hadi unapwaya, majimaji na kavuuuuu hadi waweka mate, baridi na jotoooo hadi waunguwa. kuna inayotikisika na iliyokimya kama maji ya mtungi. kuna iliyochakaa na mpyaaaa kama...., kuna mimashavu mikubwaaa iliyolala na vimashavu vidogoooooo utafikiri k haipo. Endeleeni nimechoka duh
 
inaone
Tofauti saaaaana mbona. kuna nyama nyembamba na paaana hadi unapwaya, majimaji na kavuuuuu hadi waweka mate, baridi na jotoooo hadi waunguwa. kuna inayotikisika na iliyokimya kama maji ya mtungi. kuna iliyochakaa na mpyaaaa kama...., kuna mimashavu mikubwaaa iliyolala na vimashavu vidogoooooo utafikiri k haipo. Endeleeni nimechoka duh
du inaonekana huwa unafanya kuzikagua haswa
 
inaone
du inaonekana huwa unafanya kuzikagua haswa

Hahahahahahahahah hebu piga picha kichwani jamaa yuko busy kukagua kila upande hii ni ya aina gani halafu anachukua notes ili kufanya comparison baadaye na nyingine LOL!

 
Hahahahahahahahah hebu piga picha kichwani jamaa yuko busy kukagua kila upande hii ni ya aina gani halafu anachukua notes ili kufanya comparison baadaye na nyingine LOL!


Hahahahahaaaa yaani kuna watu na viatu,maana hawa ndio wale umeme ukizimika anaahirisha mchezo kumbe ana lake jambo.Umenifurahisha sana kwa kweli.
 
Back
Top Bottom