Mtake msitake Zitto ni jembe

Status
Not open for further replies.
Udini, ukanda na ukabila ndio slogan maalum ya kundi la PM7 kwa mujibu wa ushahidi uliowatoa mafichoni kundi la masalia.
Na hii ID za Pilitoni na Ally Kanah ni mojawapo ya ID 20 zinazofanya kazi maalum hapa JF kwa niaba ya kundi la uasi la PM7 ili kuhakikisha kwamba bosi wao anapewa kila aina ya utukufu wakati hastahili kabisa kuendelea kuaminiwa kwa haya aliyoyafanya.
Je umahiri wa kujenga hoja ndio matokeo ya kuanzisha kundi la PM7?

wewe na wenzako mupo kwenye kazi maalumu ya kumchafua zitto,mpango wenu upo mikononi na mutaumbuliwa muda si mrefu.
 
Udini, ukanda na ukabila ndio slogan maalum ya kundi la PM7 kwa mujibu wa ushahidi uliowatoa mafichoni kundi la masalia.
Na hii ID za Pilitoni na Ally Kanah ni mojawapo ya ID 20 zinazofanya kazi maalum hapa JF kwa niaba ya kundi la uasi la PM7 ili kuhakikisha kwamba bosi wao anapewa kila aina ya utukufu wakati hastahili kabisa kuendelea kuaminiwa kwa haya aliyoyafanya.
Je umahiri wa kujenga hoja ndio matokeo ya kuanzisha kundi la PM7?

Acha kupotosha wewe Chadema hakuna makundi wala udini wala kuchafuana, Chadema ni chama makini kimejaa vijana wasomi...Cc to WABHEJASANA,
 
Last edited by a moderator:
Wewe ni nani hadi utusemee sisi wana MARA? Acha ujinga...hapa...Zitto ni jembe la mkono limepitwa na wakati...Matrekta wakina Tundu Lissu na J.J.Mnyika wapo kazini..na sio Waskazini...nyama ya mbafu wewe...

kumbe hao ndio waliowatuma muje kumchafua zitto,sasa waambieni hamuwezi,walishindwa watu
 
hili liko wazi kabisa kuwa mheshimiwa zitto zuberi kabwe ni jembe! Zitto ni mahiri kwa kujenga hoja na kusimamia anachokiamini tofauti na waropokaji akina wenje,jmnyika,msigwa,nassari,mbilinyi nk.wimbi linalozidi kumwandama zitto ni kutokana na uroho wa baadhi ya viongozi wa juu wa chadema ambao wanaona kuwa zitto ni tishio kwao,wanatumia kila njia kummaliza zitto,hawawezi! Watz tunatambua umuhimu wa zitto,tuko nyuma yake na tuko tayari kupambana na dhuluma yoyote dhidi yake. Kinachomponza zitto ni umahiri wake na kingine zitto siyo mchaga wala si mkaskazini kama sera iliyonyuma ya pazia ya chadema inavyoelekeza. Kuna watu wanaotumiwa kumchafua zitto,zitto anatakiwa atambue kuwa kuna kundi kubwa sana linalomsupport kuliko hata hawa vikaragosi,wapuuze na endeleza mapambano dhidi ya huu udhalimu wa wachache! Sisi huku mkoa wa mara tunakukubali sana na tutaendesha kampeni kanda ya ziwa yote dhidi ya huu uonevu,wewe ni jembe!
kweli ni jembe kwani anahitaji mpini ili awe anafikiri vzr sio kukurupuka kwa uroho wa madaraka
 
Wewe kwa sasa kati ya Mnyika na Zitto wadhani yupi bora??

bora kwa lipi? kama kwa kuibua hoja nzito za kitaifa na zenyekuleta matokeo,sijaonaga zaid ya kabwe zitto,subirini bunge la mwezi wa kwanza,munacheza na zitto nyie ile ni habari nyingine,Angalia bunge lililopita,hoja kama ya mkonge,kutokuwa na imani na waziri mkuu,na hii ya mabillioni ya uswiss,ebu nitajie hoja tatu za mnyika.Mnyika ni mwanafunzi wa zitto
 
Udini, ukanda na ukabila ndio slogan maalum ya kundi la PM7 kwa mujibu wa ushahidi uliowatoa mafichoni kundi la masalia.
Na hii ID za Pilitoni na Ally Kanah ni mojawapo ya ID 20 zinazofanya kazi maalum hapa JF kwa niaba ya kundi la uasi la PM7 ili kuhakikisha kwamba bosi wao anapewa kila aina ya utukufu wakati hastahili kabisa kuendelea kuaminiwa kwa haya aliyoyafanya.
Je umahiri wa kujenga hoja ndio matokeo ya kuanzisha kundi la PM7?

Wewe wa sema,vip nasikia kuna watu wanaandamana muda huu,kudai slaa arudishe kadi moja.Chadema kaskazini lazima mukae.
 
Hakuna hoja ya kumchafua zitto zaidi ya hoja nyepesi,sijui mnafiki,sijui mshirikina,sijui,pm 7,hamna hoja naona ni vioja tu hapa.Songa mbele zitto.wewe ni jembe hashwa.
 
haya kachukue posho yako kwa zzk kwa umbulula aliokutuma kumwaga hapa jamvini mbulula weee
 
Acha kupotosha wewe Chadema hakuna makundi wala udini wala kuchafuana, Chadema ni chama makini kimejaa vijana wasomi...Cc to WABHEJASANA,

Hili la slogan ya udini, ukanda na ukabila lina maslahi makubwa na magamba kwakuwa imeeendelea kubainika jinsi magamba mlivyokuwa mkiwafadhili wasaliti wa PM7 ili waendelee kulihubiri kwa nguvu nyingi.
Sasa nikiona msukule wa magamba unashabikia vitu kama hivyo sishangai hasa unapojaribu kualika wenzako kuja kujaribu kukupa desa kwakuwa wewe ni tegemezi.
 
Last edited by a moderator:
eti "anasimamia anachokiamini" kwa hiyo kama anasimamia utumbo anaouamini basi wewe anakufelisha kabisaaaa!!!
USITUAMBUKIZE UJINGA WAKO!!!!!!!

stupid- like,jenga hoja we nyani usikurupuke kama ke..,kama kenge
 
bora kwa lipi? kama kwa kuibua hoja nzito za kitaifa na zenyekuleta matokeo,sijaonaga zaid ya kabwe zitto,subirini bunge la mwezi wa kwanza,munacheza na zitto nyie ile ni habari nyingine,Angalia bunge lililopita,hoja kama ya mkonge,kutokuwa na imani na waziri mkuu,na hii ya mabillioni ya uswiss,ebu nitajie hoja tatu za mnyika.Mnyika ni mwanafunzi wa zitto[/QUO YES!
 
kweli mumeishiwa hoja chadema kaskazini

Makamanda wa Kasulu sasahivi wanakinukisha katika kusherekea ushindi wa Lema na kuendeleza M4C wakati ninyi masalia mko busy JF kumharibia status bosi wenu.
Nadhani unafamu na kutambua kwamba Kasulu iko kaskazini.
 
Masalia at work!ni ujinga kutetea ujinga1au ndo tuseme mnaendeleza sera zenu za kulindana kwa maslahi ya Team Masali PM-7
 
Chadema kaskazini wanataka kuwafanya watz kama mambuzi tumejua siasa zenu mnazoziendeleza
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom