Mtake msitake Zitto ni jembe

Status
Not open for further replies.
Hata jembe la kuchimbia watu wakitaka kunya porini ni jembe so inategemea zitto ni jembe lipi
 
Masalia PM7 munachekesha munavyofurukuta mkasafisha huyu mweshimiwa mr Matunguri Zitto kwa kauli yake muuwa mapanya ha ha ha too late hata mumkoshe kwa jiki mchawi yule yu mtupu by the way masalia mumesikia Lema karudi kwa kishindo anataka aondoke amesimama hapati hiyo nafasi mumiani wa kisiasa zitto

Ukweli upo wazi.zitto nitishio kwa wenye chadema.
 
ujumbe wa post yako ni kinyume chake. mnamkubali nyinyi kwa sababu ni mchumia tumbo mwenzako ni mpigania vyeo vya juu ili awe mfalme. huu si wakati wa kulumbana na kuhujumu tunataka ukombozi. kakiumbe kama hako kanatusumbua...namheshimu tu ningesema kitu
 
Mtapata shida sana nyie, hao akina wenje,mnyika,nassari,msigwa, mbilinyi,Lissu, Slaa ni WACHAGA!???? siasa za hivyo hazina mashiko tena na zimeshachuja, na hakuna aliyekataa kama Zitto ni jembe

mkuu naomba comment zako kwenye hili,hivi unadhani kama issue ya kadi mbili ingempata Zitto ingekuwa handodi kama ilivyokuwa kwa Slaa?
 
Last edited by a moderator:
eti "anasimamia anachokiamini" kwa hiyo kama anasimamia utumbo anaouamini basi wewe anakufelisha kabisaaaa!!!
USITUAMBUKIZE UJINGA WAKO!!!!!!!

eti "anasimamia anachokiamini" kwa hiyo kama anasimamia utumbo anaouamini basi wewe anakufelisha kabisaaaa!!!
USITUAMBUKIZE UJINGA WAKO!!!!!!Unajisikiaje Mkuu?!
 
Sijui ni jembe la kulimia mitishamba au nini?

Mbona mnatumia nguvu nyingi kumsafisha? Kwani sisi hatuna macho?
 
Nasema tena: Zitto bado ana fursa ya kukua ndani ya CDM na sijamdelete bado pamoja na yote hata.

Tatizo langu kubwa ni hawa wapambe, wanachefua sana. Hivi Zitto akiwa rais hawa si ndio watakuwa washauri wake???

Kama unaongelea ubora wa Zitto kuna ulazima gani wa kubomoa wengine?? Mnyika, Wenje, Sugu n.k wanaingiaje kwenye hoja ya umahiri wa ZK??

ZK talk to your boys: hakuna haja ya kukutetea acha hiki kimbunga kitulie then come out humbly na waeleze viongozi wenzio yote unayoyajua kisha kubali ushauri wao na maamuzi yao.....

Usifanye kosa la kutoshughulikia jambo hili maana linaweza kutulia lakini mark my words, litakuandama siku za usoni na wapinzani wako watalitumia kama kuna siku umetapata fursa ya kugombea uongozi wa juu iwe kwenye chama ama kwingineko....

kwani kuna ubaya gani wa kumfananisha zitto na wabunge mwenzake vijana ambao wengi wameingia kwenye siasa kwa kuvutiwa na siasa za zitto.
 
Udini, ukanda na ukabila ndio slogan maalum ya kundi la PM7 kwa mujibu wa ushahidi uliowatoa mafichoni kundi la masalia.
Na hii ID za Pilitoni na Ally Kanah ni mojawapo ya ID 20 zinazofanya kazi maalum hapa JF kwa niaba ya kundi la uasi la PM7 ili kuhakikisha kwamba bosi wao anapewa kila aina ya utukufu wakati hastahili kabisa kuendelea kuaminiwa kwa haya aliyoyafanya.
Je umahiri wa kujenga hoja ndio matokeo ya kuanzisha kundi la PM7?
 
Last edited by a moderator:
Hili liko wazi kabisa kuwa mheshimiwa zitto zuberi kabwe ni jembe! Zitto ni mahiri kwa kujenga hoja na kusimamia anachokiamini tofauti na waropokaji akina wenje,jmnyika,msigwa,nassari,mbilinyi nk.Wimbi linalozidi kumwandama zitto ni kutokana na uroho wa baadhi ya viongozi wa juu wa chadema ambao wanaona kuwa zitto ni tishio kwao,wanatumia kila njia kummaliza zitto,hawawezi! Watz tunatambua umuhimu wa zitto,tuko nyuma yake na tuko tayari kupambana na dhuluma yoyote dhidi yake. Kinachomponza zitto ni umahiri wake na kingine zitto siyo MCHAGA wala si mkaskazini kama sera iliyonyuma ya pazia ya chadema inavyoelekeza. Kuna watu wanaotumiwa kumchafua zitto,zitto anatakiwa atambue kuwa kuna kundi kubwa sana linalomsupport kuliko hata hawa vikaragosi,wapuuze na endeleza mapambano dhidi ya huu udhalimu wa wachache! Sisi huku mkoa wa mara tunakukubali sana na tutaendesha kampeni kanda ya ziwa yote dhidi ya huu uonevu,wewe ni jembe!

Wewe ni nani hadi utusemee sisi wana MARA? Acha ujinga...hapa...Zitto ni jembe la mkono limepitwa na wakati...Matrekta wakina Tundu Lissu na J.J.Mnyika wapo kazini..na sio Waskazini...nyama ya mbafu wewe...
 
Hili liko wazi kabisa kuwa mheshimiwa zitto zuberi kabwe ni jembe! Zitto ni mahiri kwa kujenga hoja na kusimamia anachokiamini tofauti na waropokaji akina wenje,jmnyika,msigwa,nassari,mbilinyi nk.Wimbi linalozidi kumwandama zitto ni kutokana na uroho wa baadhi ya viongozi wa juu wa chadema ambao wanaona kuwa zitto ni tishio kwao,!
Mkuu is this necessary...?!!!!

Yaani kuonyesha umahiri wa fulani ni lazima kuonyesha kwamba wengine hawafai ?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom