Mtaji wa Tsh. Milioni 1 hadi 5: Naweza kufanya Biashara gani Tanzania?

Nenda kakodishe heka chache za shamba (inategemea upo wapi), chagua zao moja, kwa mfano mahindi, ulime kitaalamu. Ukishavuna na kuuza, ongeza shamba ulime tena.
 
nawasalimu wakuu....ninamtaji wangu wa milioni tano nataka nifanye biashara,,mimi ni mwanafunzi najiunga na ifm naishi kimara nataka walau nifanye biashara ya kuniwezesha hela ndogo ndogo za matumizi yangu ya kila siku,,naombeni ushauri wenu ni biashara gani ambayo itanifaa na rahisi kumanage kwa sababu mda mwingi nitakua chuo???
 
we ni inservis? umepataje huo mtaji mkubwa hivo na ss tupe maujanja? una boom % ngapi? utakaa hostel au kitaa?

kwa pesa yako fanya haya:
1. nunua bajaj/bodaboda kama kaa mazina alivo shaur hpo juu. au
2.fungua stationary karibu na chuo, wateja zko wakubw watakua friends zako. au
3.wekeza kijijn ktk kilimo au ufugaji, ila lazima uwe na msimamz asie na tamaa na commncatn muhimu.
4.unaweza hiyo hyo mil 5 ukaitumia kwa matumiz madg madg na ww uka concentrat kwenye shule, maana masomo na bizness wachache wanawz. au
5.fungua duka la nguo za kiume au kike karib na chuo, masharo na madada duu watakua watja wakuu. au
6.njia ulio tumia kuziata hizo mil.5, endeleza hiyo hoyo na nakuambia zitazaliana exponentially. au
7._________

ila usionge.

NB: naomba nijib maswal ya hapo mwanzo.
 
Last edited by a moderator:
Bajaj ndo ingekuwa safi zaidi, hautaumiza kichwa sana na itakupa mda mzuri wa kujisomea na usimamizi wake n mdogo
 
we ni inservis?
umepataje huo mtaji mkubwa hivo na ss tupe maujanja? una boom % ngapi?
utakaa hostel au kitaa?

kwa pesa yako fanya haya:
1. nunua bajaj/bodaboda kama kaa mazina alivo
shaur hpo juu. au
2.fungua stationary karibu na chuo, wateja zko wakubw watakua friends
zako. au
3.wekeza kijijn ktk kilimo au ufugaji, ila lazima uwe na msimamz asie na
tamaa na commncatn muhimu.
4.unaweza hiyo hyo mil 5 ukaitumia kwa matumiz madg madg na ww uka
concentrat kwenye shule, maana masomo na bizness wachache wanawz. au
5.fungua duka la nguo za kiume au kike karib na chuo, masharo na madada
duu watakua watja wakuu. au
6.njia ulio tumia kuziata hizo mil.5, endeleza hiyo hoyo na nakuambia
zitazaliana exponentially. au
7._________

ila usionge.

NB: naomba nijib maswal ya hapo mwanzo.

mim niepanga korogwe kimara,sina boom,mtaji nimepewa na wazaz hawataki niwategemee hata kwa hela ya boxer,wanataka nichape kazi....
 
Last edited by a moderator:
Hello wanajamvi hili la UJASIRIAMALI.

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka ipatayo 23 kwa sasa na nimwajiriwa, kimaisha kwa sasa ninaishi kwa kutegemea ajira yangu ili kuendelea na kuweza hata kuisaidia familia yangu kwa jambo moja ama nyingine.

NAISHI DAR-ES-SALAAM MAENEO YA SINZA KWA REMI

KIMAHUSIANO
Sijaoa na sina mtoto na pia siko katika mahusiano ya kimapenzi na msichana yeyote kwa kipindi hiki kutokana na sababu nilizonazo binafsi.

BACK TO TOPIC
Okay kwa jitihada zangu za kimaisha imefikia mahali sasa ninaona kazi nanayoifanya haiwezi kunifikisha pale ninapotegemea na pia nahisi hata nikija kuwa katika ndoa hapo baadae nitashindwa kukidhi baadhi ya majukumu kama mwanaume katika familia so kwa hali hiyo nimeweza kudunduliza kiasi fulani cha pesa katika mishahara yangu ninayoipata na kuweza kufikisha kiasi cha Tsh Milioni 5.
Na dhumuni la mimi kufanya hivyo ni ili niweze kujikika katika biashara ambayo najua kwa MAWAZO YANGU + MAWAZO YENU itaweza kunifanya niweze kumudu maisha yangu ya baadae vyema.

MAWAZO YANGU
Mawazo yangu kibiashara nimefikiria biashara ambayo haitanichukua mda mrefu kuwepo maeneo yale ingawa nitakuwa nafatilia kila siku na kama tunavyohisi wengi hakuna biashara isiyokuwa na hasara either inaweza kuwa ndogo au hasara kubwa basi sasa nimejikuta na wazo la KUFUNGUA DUKA ambalo litakuwa na mchanganyiko.

1: Sehemu ya M-PESA,TIGO-PESA,LUKU nk.
2: Sehemu ya pili ni VIPODOZI vya kila aina au Sehemu ya pili ni WINE na pombe kali zingine.

MAWAZO YENU YA MUHIMU
Kiukweli hiyo ni mawazo nilionayo kwa sasa ila sina uzoefu kwa Biashara hata moja ingawa najua hakuna anaeanza anajua wote tunajifunzia hapa hapa SASA naomba kwa yeyote mwenye uzoefu wa KATI ya hizo biashara nilizoorodhesha hapo juu anisaidie kimawazo NIANZIE WAPI ili kuweza kufanikisha jambo hili.

NB:Na pia kama unamawazo tofauti ya biashara nyingine ambayo unahisi kwa mtaji nilionao utanisaidia sio mbaya ukinijulisha.

AHSANTENI SANA NATEGEMEA MAWAZO MAZURI KUTOKA KWENU.
 
1. kwanza upo mji gani?
2. Idadi ya watu wanaoishi (makazi) katika eneo unalotaka kufungua bishara hiyo.
3. Idadi ya ofisi katika eneo hilo.
4. life staili ya watu katika eneo hilo.
5. Kuna watu wanaofanya biashara kama hiyo au inayofanana na hiyo katika eneo hilo? nini mafanikio yao

Jaribu kufanya utafiti wa bishara ya kilimo na ufugaji katika mji wako
1. idadi ya hotel, migahawa na vijiwe vya kuchoma chips also pia zingatia point namba 2,3,4,5, juu

Toa majibu kisha tuendelee
 
Fanya biashara ya e-money,vipodozi vinalipa ila changamoto nyingi hasa vipodozo fake........! mi ningekushauri uwekeze katika kilimo kwa hiyo pesa ingekulipa mara 3.
 
ningekushauri ufungue kitu ambacho una uzoefu nacho yaani ujuzi wako umebase wapi ndo ufungue kama wewe ni daktari au medical assist, au nesi basi ufungue duka la madawa kwani ndo fani yako
kama wewe ni mtaalamu wa mamboya IT basi fungua duka la kuuza computer, printer, scanner au chochote kinachoendana na hicho

kama wewe ni mfamasia au una ujuzi wowote fungua kitu kihusisho hicho kitakusaidia kwani utakuwa na ujuzi nacho kuliko kufungua kitu ambacho una ujuzi nacho utateseka best

ila fungua mradi wa kuku unalipa sana watafute watalaamu wakuelekeze kidogo namna ya kufanya utafainikiwa natumai mpaka hapa umeninielewa bestito

Hello wanajamvi hili la UJASIRIAMALI.

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka ipatayo 23 kwa sasa na nimwajiriwa, kimaisha kwa sasa ninaishi kwa kutegemea ajira yangu ili kuendelea na kuweza hata kuisaidia familia yangu kwa jambo moja ama nyingine.

KIMAHUSIANO
Sijaoa na sina mtoto na pia siko katika mahusiano ya kimapenzi na msichana yeyote kwa kipindi hiki kutokana na sababu nilizonazo binafsi.

BACK TO TOPIC
Okay kwa jitihada zangu za kimaisha imefikia mahali sasa ninaona kazi nanayoifanya haiwezi kunifikisha pale ninapotegemea na pia nahisi hata nikija kuwa katika ndoa hapo baadae nitashindwa kukidhi baadhi ya majukumu kama mwanaume katika familia so kwa hali hiyo nimeweza kudunduliza kiasi fulani cha pesa katika mishahara yangu ninayoipata na kuweza kufikisha kiasi cha Tsh Milioni 5.
Na dhumuni la mimi kufanya hivyo ni ili niweze kujikika katika biashara ambayo najua kwa MAWAZO YANGU + MAWAZO YENU itaweza kunifanya niweze kumudu maisha yangu ya baadae vyema.

MAWAZO YANGU
Mawazo yangu kibiashara nimefikiria biashara ambayo haitanichukua mda mrefu kuwepo maeneo yale ingawa nitakuwa nafatilia kila siku na kama tunavyohisi wengi hakuna biashara isiyokuwa na hasara either inaweza kuwa ndogo au hasara kubwa basi sasa nimejikuta na wazo la KUFUNGUA DUKA ambalo litakuwa na mchanganyiko.

1: Sehemu ya M-PESA,TIGO-PESA,LUKU nk.
2: Sehemu ya pili ni VIPODOZI vya kila aina au Sehemu ya pili ni WINE na pombe kali zingine.

MAWAZO YENU YA MUHIMU
Kiukweli hiyo ni mawazo nilionayo kwa sasa ila sina uzoefu kwa Biashara hata moja ingawa najua hakuna anaeanza anajua wote tunajifunzia hapa hapa SASA naomba kwa yeyote mwenye uzoefu wa KATI ya hizo biashara nilizoorodhesha hapo juu anisaidie kimawazo NIANZIE WAPI ili kuweza kufanikisha jambo hili.

NB:Na pia kama unamawazo tofauti ya biashara nyingine ambayo unahisi kwa mtaji nilionao utanisaidia sio mbaya ukinijulisha.

AHSANTENI SANA NATEGEMEA MAWAZO MAZURI KUTOKA KWENU.
 
Please naomba uangalie nimeedit post kutokana na mawazo yako ila Naishi DAR-ES-SALAAM maeneo ya SINZA kwa REMI na maeneo nilipo watumiaji ni wengi na kuhusiana na watu wenye biashara kama hiyo karibu si wengi kwa mazingira nayofikiria kufungua.
 
Hello wanajamvi hili la UJASIRIAMALI.

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka ipatayo 23 kwa sasa na nimwajiriwa, kimaisha kwa sasa ninaishi kwa kutegemea ajira yangu ili kuendelea na kuweza hata kuisaidia familia yangu kwa jambo moja ama nyingine.

KIMAHUSIANO
Sijaoa na sina mtoto na pia siko katika mahusiano ya kimapenzi na msichana yeyote kwa kipindi hiki kutokana na sababu nilizonazo binafsi.

BACK TO TOPIC
Okay kwa jitihada zangu za kimaisha imefikia mahali sasa ninaona kazi nanayoifanya haiwezi kunifikisha pale ninapotegemea na pia nahisi hata nikija kuwa katika ndoa hapo baadae nitashindwa kukidhi baadhi ya majukumu kama mwanaume katika familia so kwa hali hiyo nimeweza kudunduliza kiasi fulani cha pesa katika mishahara yangu ninayoipata na kuweza kufikisha kiasi cha Tsh Milioni 5.
Na dhumuni la mimi kufanya hivyo ni ili niweze kujikika katika biashara ambayo najua kwa MAWAZO YANGU + MAWAZO YENU itaweza kunifanya niweze kumudu maisha yangu ya baadae vyema.

MAWAZO YANGU
Mawazo yangu kibiashara nimefikiria biashara ambayo haitanichukua mda mrefu kuwepo maeneo yale ingawa nitakuwa nafatilia kila siku na kama tunavyohisi wengi hakuna biashara isiyokuwa na hasara either inaweza kuwa ndogo au hasara kubwa basi sasa nimejikuta na wazo la KUFUNGUA DUKA ambalo litakuwa na mchanganyiko.

1: Sehemu ya M-PESA,TIGO-PESA,LUKU nk.
2: Sehemu ya pili ni VIPODOZI vya kila aina au Sehemu ya pili ni WINE na pombe kali zingine.

MAWAZO YENU YA MUHIMU
Kiukweli hiyo ni mawazo nilionayo kwa sasa ila sina uzoefu kwa Biashara hata moja ingawa najua hakuna anaeanza anajua wote tunajifunzia hapa hapa SASA naomba kwa yeyote mwenye uzoefu wa KATI ya hizo biashara nilizoorodhesha hapo juu anisaidie kimawazo NIANZIE WAPI ili kuweza kufanikisha jambo hili.

NB:Na pia kama unamawazo tofauti ya biashara nyingine ambayo unahisi kwa mtaji nilionao utanisaidia sio mbaya ukinijulisha.

AHSANTENI SANA NATEGEMEA MAWAZO MAZURI KUTOKA KWENU.

Salaam, Umejieleza vyema na si haba na mimi nikakuwekea ushauri kidogo hapa;
Kwanza aina ya biashara unayotaka kuifanya (TiGopesa, M-Pesa, Luku & Wines/Spirits) ni biashara ambayo nijuavyo mimi (Kama nilivyoanza hapo Dar mwaka juzi) mtaji kwa uchache ulikuwa 12mil pamoja na rent.
Pili, kwa biashara hiyo/duka la aina hii LOCATION ni kitu cha muhimu sana kwani unaweza kufungua na kwa siku ukapata mauzo kidogo sana ukajilaumu. Altenative, check PM
 
Back
Top Bottom