Nunua bodaboda 3 wape vijana boda moja kwa siku ni tsh 6000 mara 3=18000, ndani ya miaka miwili utakua umetengeneza faida ya m 7.
Nunua bodaboda 3 wape vijana boda moja kwa siku ni tsh 6000 mara 3=18000, ndani ya miaka miwili utakua umetengeneza faida ya m 7.
hardly miezi sita baada ya hapo nimatatizo matupu. Usisahau kuibiwa na usumbufu wa vijana.hii biashara kichefuchefu,tokea lini umeona bodaboda yenye namba A__ zote zinaanzia B___,kaka mchina hafiki miaka miwili hiyo kwa hawa madereva wetu
Ni biashara nzuri lakin inaitajika kwa mtu muaminifu kweli kweli otherwise atakula hasara,m5 unapata boda boda nne,kwa siku unaingiza 24 kwa wiki 144k kwa mwezi 576 kwa miaka miwili ni mil 13 na laki 8 na elfu 24,tkuitoa hizo laki 8 na ushee kwa miaka mi2 unatengeneza faida ya million 13:::inahitaji mtu muaminifu kweli kweli.
sidhani kama biashara ya bodaboda ina complications ktk management,so wewe unachofanya nni kuweka kiwango unachotaka kwa wiki,kama kijana hatodeliver unamtosa.
Nunua bodaboda 3 wape vijana boda moja kwa siku ni tsh 6000 mara 3=18000, ndani ya miaka miwili utakua umetengeneza faida ya m 7.
WATANZANIA TUNAPENDA SANA BIASHARA RAHISI NA ZISIZO HITAJI AKILI KABISA, BIASHARA YA BODABODA INAFANYWA NA WATU AMBAO WAMEFIKIA MWISHO WA KUFIKILIA NA AMBAO NA WAVIVU WAKUTUMIA AKILI
- Kwa magreat thinker kuja na wazo la Bodaboda ni kitu cha ajabu sana, ni kwa nini tusipende kuwekeza katika miradi yenye tija kwa taifa hili
1. Kwa nini si miradi yenye tija kwa taifa hili?
2. Kwa nini si uwekezaji ambao hata watu wa nje watatamani kufanya na wewe kazi?
3. Hii biashara si sustainable hata kidogo na sijui mtu mwenye hii biashara huwa anaplani niniu mbeleni
- Anzisha biashara ambayo miika kumi ijayo itakuwa ni biashara kubwa sana ndani na nje ya nchi hii,
- Watanzania utakuta mtu ana gest house moja ana Bodaboda tatu, ana kibanda cha simu na vocha, sasa mtu kama huyi sijui huwa anataget nini kuja kuwa vipi,
-HII DUNIA NI YA USHINDANI MKUBWA SANA NA KWA SASA ATAKAYE SAVAVIVE NI MTU ANAYE KUWA NA IDEA ILIYO ENDA SHULE, JARIBUNI KUTEMBELEA African Report muone vijana wa nchi zingine mawazo yao ya biashara, huwezi kuta vuijana kama wakule NIGERIA WANAPEANA USHAURI WA BODABODA HATA SIKU MOJA,
Nilizama Aidea ambayo hata ukiitwa kwenda kupresent mahali watu wanakuna vichwa na kukuona wewe ni mtu mwingine kabisa, sasa unaitwa unaenda kupresent Bajaji na Bodaboda utaonekana wa ajabu sana
wewe nae,mbwembwe nyingi wkt haujamshauri kitu si afadhali hao wa boda boda,wewe huna idea umeishia kulaumu tu....