M Moony JF-Expert Member Apr 16, 2011 1,599 435 Aug 18, 2012 #1 Wataalamu nisaidieni. Nataka mtu wa kunielimisha kuhusu HYDROPONICS. Ningependa mtu atakayenielewesha namna ninavyoweza kutengeneza bustani za hii.
Wataalamu nisaidieni. Nataka mtu wa kunielimisha kuhusu HYDROPONICS. Ningependa mtu atakayenielewesha namna ninavyoweza kutengeneza bustani za hii.
M Moony JF-Expert Member Apr 16, 2011 1,599 435 Feb 22, 2014 Thread starter #3 HYDROPONICS ni fursa kubwa kwetu, jamani wataalamu wa kilimo mko wapi? naomba msaada!!
The Fixer JF-Expert Member Mar 3, 2008 1,365 583 Feb 22, 2014 #4 Unataka kujenga Fish pond ama Mabwawa kabisa ?
M MahinaVeterani JF-Expert Member Aug 8, 2013 710 254 Feb 23, 2014 #5 Moony said: HYDROPONICS ni fursa kubwa kwetu, jamani wataalamu wa kilimo mko wapi? naomba msaada!! Click to expand... Kuna mjadala juu ya hydroponics unaendelea kwenye Jukwaa la Ujasiriamali. Jaribu kupita huko upate machache.
Moony said: HYDROPONICS ni fursa kubwa kwetu, jamani wataalamu wa kilimo mko wapi? naomba msaada!! Click to expand... Kuna mjadala juu ya hydroponics unaendelea kwenye Jukwaa la Ujasiriamali. Jaribu kupita huko upate machache.