Mtaa wa Laibon ni Soo!!

Arsenal

Senior Member
Aug 12, 2008
190
71
Jamani kwa wale ambao ni wapenzi wa kupita huu mtaa ili kukwepa foleni kuweni waangalifu mana leo hii rafiki yangu kapita ule mtaa akakuta magari yameshona so since ile njia ni no entry kutokea barabara ya Ali Hassan Mwnyi akaamua kutengeza line ya pili akasogea mpk hatua kama moja tu kuingia Ali hassan mwinyi rd saa ngapi askari asimfate na kumwambia kwamba ana kosa la kutanua!! na adhabu yake ni wiki mbili jela!! basi uku na uku ubishi wapi!! geuza gari break ya kwanza Obey police station kosa kutanua no mjadala ni wiki mbili!! dah!! jamaa kanywea kete kazidiwa yupo angle akaamua kuongea kwa herufi kubwa police wako watatu mwanamke mmoja wakamtoa 70k jamani sio utani leo leo asubuhi akazunguka uhani akachukua ndinga yake kaenda job siku yote imeharibika!!!

SWALI;

Hii njia c no entry ukitokea Ali Hassan Mwinyi rd? so kwanini wanakataza two lanes? wakati hakuna gari linaloingia hii njia? zamani ilikuwa ivo yes but not now!!! .....Ma-trafiki tumieni akili basi this time ni rush hours ata wale wanaopita vichochoroni wanasaidia kupunguza mnyororo kwenye main rd mana kila mtu akipita main rd itakuwa balaa.

kwa wale wasio ijua hii njia ni ile ya ubalozi wa marekani wa zamani karibu na stanbic bank ya pale Ali Hassan Mwinyi rd!!
 
Jamani kwa wale ambao ni wapenzi wa kupita huu mtaa ili kukwepa foleni kuweni waangalifu mana leo hii rafiki yangu kapita ule mtaa akakuta magari yameshona so since ile njia ni no entry kutokea barabara ya Ali Hassan Mwnyi akaamua kutengeza line ya pili akasogea mpk hatua kama moja tu kuingia Ali hassan mwinyi rd saa ngapi askari asimfate na kumwambia kwamba ana kosa la kutanua!! na adhabu yake ni wiki mbili jela!! basi uku na uku ubishi wapi!! geuza gari break ya kwanza Obey police station kosa kutanua no mjadala ni wiki mbili!! dah!! jamaa kanywea kete kazidiwa yupo angle akaamua kuongea kwa herufi kubwa police wako watatu mwanamke mmoja wakamtoa 70k jamani sio utani leo leo asubuhi akazunguka uhani akachukua ndinga yake kaenda job siku yote imeharibika!!!

SWALI;

Hii njia c no entry ukitokea Ali Hassan Mwinyi rd? so kwanini wanakataza two lanes? wakati hakuna gari linaloingia hii njia? zamani ilikuwa ivo yes but not now!!! .....Ma-trafiki tumieni akili basi this time ni rush hours ata wale wanaopita vichochoroni wanasaidia kupunguza mnyororo kwenye main rd mana kila mtu akipita main rd itakuwa balaa.

kwa wale wasio ijua hii njia ni ile ya ubalozi wa marekani wa zamani karibu na stanbic bank ya pale Ali Hassan Mwinyi rd!!
penye red huoni jamaa yako ana makosa?
 
Ile signpost inachanganya sana kama ile ya Tunisia kuingia Leaders toka AH Road.....technically kwa positioning yake inazuia watokao mjini ku right turn into Laibon na kuruhusu Left turning(from Mwenge) into Laibon na kwa hiyo jamaa alikosea...sasa zilitakiwa ziwe mbili for both entries ndio hapo angejustify kuwa ni one way duo lane kama Samora....lakini nadhani nia ilikuwa ni kuzuia both entries ila uelewa mdogo wa watendaji wetu......sadly hata maua ya barabarani hawajui type ya kupanda...on the same road wamepanda mimea amabyo iko so reach in foliage kiasi cha kuobstruct vision ya upande wa pili na hivo kuwa hatari kwa madereva...hasa ukitaka ku turn around shurti uchunguliechungukie
 
Duh! pole zake, mi ndo huwa nachukuaga number zao za kazi........zile kwenye kofia au bega, badae unadeal nae sawasawa.......wakichukua 70k, ww baadae unatumia 200k anapelekwa masijala, full stop.
 
Mhh! Polisi wanaweza kukufunga wiki mbili bila kesi? Amepigwa changa "rafiki yako"
 
du nyie Traffic kuweni wasomi alaaa jeshi lipo kisasa nyie mnaleta za enzi hizo au hamuna magari nyie kuweni wastaarabu
 
Polisi wetu wanaowekwa barabarani ni wale waliofeli kidato cha nne.
Uwezo wao wa kufikiria ni mdogo sana ndio maana wanavurunda kwa kiasi cha kutisha.
Ngoja siku moja niwakomoe, ntapita laiboni na gari la pccb, niwaweke wenyewe selo kama wanadhani kule kuna bustani ya maua ridi.
 
Maderava hebu acheni ujanjaujanja....wewe unaona wenzako waliopanga foleni ni mabwege sio!
 
hovyooo! hasa ndo nini.Kaeni kwenye foleni,wote tukiwa na haraka tutafika?tubarabara twenyewe ndo hutu!
 
Back
Top Bottom