Unaonekana uko karibu best ila kufika hapo ni safari tena lazima kuaga, kuhusu wakenya kuutaja nadhani ni lugha tu ya biashara. Mamtoni celeb mmoja akiingia mgahawani wanaweka tangazo nje ili watu wengi waingie na bei ya vitu inapanda utadhani atawanunulia, so kuutaja mlima it is but business kama wanaweza waambie waupande kupitia huko Amboseli!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.