Mocumentary
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 772
- 1,960
Mstahiki Meya wa Jiji la Mbeya, Dourmohamed Issa amesema madiwani wa mkoa huo wataendelea kumuunga mkono Spika wa Bunge la Tanzania na Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Dk Tulia Ackson kutokana na utumishi wake uliotukuka.
Mstahiki Meya huyo amesema hayo leo Januari 24, 2023 mara baada ya Spika Dk Tulia Ackson, kukabidhi bima za afya ya jamii iliyoboreshwa (ICHF) kwa wananchi 3,000
kutoka kaya 500.
Mstahiki Meya huyo amesema hayo leo Januari 24, 2023 mara baada ya Spika Dk Tulia Ackson, kukabidhi bima za afya ya jamii iliyoboreshwa (ICHF) kwa wananchi 3,000
kutoka kaya 500.