K KakaNanii JF-Expert Member Sep 28, 2008 325 52 Dec 7, 2011 #1 Hii kitu imekaaa vyema kweli. Ni kitamu !
Sita Sita JF-Expert Member Aug 25, 2008 1,393 511 Dec 7, 2011 #2 haya mkuu. naona hata kutukaribisha hutaki
Komeo JF-Expert Member May 3, 2011 2,498 1,171 Dec 10, 2011 #3 Hapo umekosea hiyo soda! Bora ungeweka juisi ya passion na nanasi ya kutengeneza mwenyewe, sio ya kiwandani.
Hapo umekosea hiyo soda! Bora ungeweka juisi ya passion na nanasi ya kutengeneza mwenyewe, sio ya kiwandani.
driller JF-Expert Member Aug 25, 2011 1,116 246 Dec 10, 2011 #4 kweli asee yani na masoda anakua anakifanya kiwe cha kawaida sana tu..!