BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,162
hat mimi nilisikia na kuamini kabisa kuwa mwanamke wa hivyo aidha alishazaa au alipata ujauzito(kutoka au kuharibika not withstanding) na niliamini!!niliamini kwasababu alieniambia ni binti mmoja daktari ambae alikuwa na ukaribu wa kutosha na mimi.sasa naanza kuchanganyikiwa!
kwa nini unachanganyikiwa? funguka