Msikieni Bwana Benson Bana BBC Swahili

Nchi ya wanafiki tu ndio kunaweza kuwa na maoni ya "kitaalamu" toka kwa "mtaalamu wa siasa" wa kariba ya Bana!
 
Akinyimwa ubwabwa anawageuka wenzie wakimpa anawasifia........kaaazi kwelikweli

Dr.Banseni Bana.
 
Mchumia tumbo huyo! ngoja CCM wampe kitu kidogo uone kama hajaja na kauli ingine
 
Wachumia tumbo hawa!
Leo ndo wanajifanya wanafunguka?

na hawafai kuwa kwenye system maana kwao cha kwanza ni tumbo. Watakusifia ili uwabebe na wanakugeuka unapopotea lakini walikuwa wanajua kwamba njia unayopita siyo. Hawa wote tutakutana 2015
 
He is right to some extent! kiukweli historia haiibebi ccccm ila kuna kitu kigumu sana lazima wafanye ili kurudisha imani kwa wapiga kura. Ukweli uliodhahiri ni kwamba mara nyinyi watawala wa kiafrika huwa hawaamini kuwa ipo siku wananchi wao wanaweza kuwageuka. Kwa viongozi wenye kuona mbele wanatakiwa kuikubali hali halisi ili mabadiliko yasiathuri heshima yao na vizazi pamoja na hatma yao ya baadae. Matendo yoyote maovu kwa wapinzani ni kuzidi kuchochea chuki kati ya watawala na watawaliwa. Je siku wapinzani wakichukua dola kweli kuna usalama kwao?. Mfumo wa vyama vingi usiwe mtego kwetu, tumeukubali basitukubali na matokeo yake. Leo unmpiga kirungu kichwani mpinzani wako kwa kutumia polic keshokutwa anakuwa rais kibinadam hapo lazima mtataftana tu. So tukubali kukosolewa, cccm iheshim wapinzanni ijipange na kujisahihisha ili ipambane kwa hoja na sikutegemea nguvu za dola. Vinginevyo kuendelea kutumia dola mwishowa siku ikipoteza tu visasi havitaepukika
 
Anaposema ccm haijagawanyika/haina mpasuko bali wabunge wake wana tofauti ana maana gani? Kwa Bana ccm ni jengo la mtaa wa rumumba au? CCM ndo hao anaowaita wabunge wenye tofauti na si matofali yaliyojenga makao makuu ya chama
 
Huyu b.bana anatia aibu sana na mwenzio yule anaitwa palakabudi magamba,hawa jamaa hawajitambui nakumbuka mika 35 ya ccm huyu mzee alichukua matokeo ya uchaguzi mwaka 2010 kuhalarisa kuwa ccm bado ccm iko kwenye chati,hawa wanafiki wanaotuvuruga halafu wameshika tasisi za utafiti hakuna sheria ya kuwadhibiti?
 
Ndugu wana JF huyu Dr ni mnafiki wa kupindukia na ana njaa mbaya yaani ukimsikia kauli zake zinabadilika kila mara mawazo yake ni sawa na mpiga ramli, mnafiki wa kupindukia nawaomba wananchi wapenda mabadiliko kuwa makini na watu aina ya Dr bana maana hawa ndiyo wameifikisha nchi hii hapa. hafai hata kupewa mdhamana kwa ugeugeu wake. Hopeless Dr
 
Dr. Benson Bana na Pasco wa JF nawaona kama mapacha (identical twins). Wanaongea mambo ya ajabu sana tena kwa confidence ya hali ya juu! Lakini mbaya zaidi ni kitendo cha CCM kumtumia mtu kama Dr Benson Bana kwenye mikakati yake ya siasa! Mwezi kama mmoja na nusu hivi huyu Dr Benson Bana alinukuliwa akisema kuwa CCM haina mbadala, na kwamba wananchi bado wanakiamini CCM, sasa anaongea nini?

Kama 'msomi' amefanya utafiti gani uliomfanya abalishe 'position' yake kuhusu ccm? Au naye anapiga ramli?
 
This learned doctor is very controversial, Juzi tu alimtabiria Sioi Sumari kwamba angeshinda kwa >80% Arumeru Mashariki kwasabu CCM inakubaliki na mvuto.

Leo after a week ni kitu gani kimemfanya apige about turn? This dude is liability mimi ninashangaa kwanini wanampatia hiyo airtime!
 
Huyu Mage Bana kilaza tu hana lolote sisi hapa chuo tumemzoea mpaka tumempa jina la Mage maana huwa akimwona dada mmoja anaitwa mage, utashangaa hata kama uko ofisini mtaskia anaita ahh mageeeeeeeeeeee, yaani bila aibu anaonesha hisia zake hadharani
 
Dk. Bana is opportunist in nature, and he represents majority of Tanzanians who had the opportunity to attend school (not learned).
He normally express what he doesnt believe that is why can not have justification on whatever he says. Afadhali akina dr Lwaitama. Lwaitama is known for his sincere critis agaist the system ili aisaidie ifanye vema. Sasa huyu benseni burner ana inferiority complex kwa watawala.

Anaganga njaa!
 
Dk. Bana is opportunist in nature, and he represents majority of Tanzanians who had the opportunity to attend school (not learned).
He normally express what he doesnt believe that is why can not have justification on whatever he says. Afadhali akina dr Lwaitama. Lwaitama is known for his sincere critis agaist the system ili aisaidie ifanye vema. Sasa huyu benseni burner ana inferiority complex kwa watawala.

Anaganga njaa!

Probably he is careful, making sure that one side of his bread is buttered:smile-big:
 
He is right to some extent! kiukweli historia haiibebi ccccm ila kuna kitu kigumu sana lazima wafanye ili kurudisha imani kwa wapiga kura. Ukweli uliodhahiri ni kwamba mara nyinyi watawala wa kiafrika huwa hawaamini kuwa ipo siku wananchi wao wanaweza kuwageuka. Kwa viongozi wenye kuona mbele wanatakiwa kuikubali hali halisi ili mabadiliko yasiathuri heshima yao na vizazi pamoja na hatma yao ya baadae. Matendo yoyote maovu kwa wapinzani ni kuzidi kuchochea chuki kati ya watawala na watawaliwa. Je siku wapinzani wakichukua dola kweli kuna usalama kwao?. Mfumo wa vyama vingi usiwe mtego kwetu, tumeukubali basitukubali na matokeo yake. Leo unmpiga kirungu kichwani mpinzani wako kwa kutumia polic keshokutwa anakuwa rais kibinadam hapo lazima mtataftana tu. So tukubali kukosolewa, cccm iheshim wapinzanni ijipange na kujisahihisha ili ipambane kwa hoja na sikutegemea nguvu za dola. Vinginevyo kuendelea kutumia dola mwishowa siku ikipoteza tu visasi havitaepukika

Pamoja na hayo hakumwondelei unafiki wake. Wakati direction ya upepo wa kisiasa inapobadilika utawaona wanafiki wengi tuu hasa wasomi.
 
Expect Nothin, huyo mchumia Tumbo....anataka shavu kwa watawala.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom