Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni na Michezo Gerson Msigwa, amewapongeza vijana wanaounda kundi la Ramadhan Brothers baada ya kujinyakulia ushindi kwenye mashindano ya AGT 'America’s Got Talent Fantasy League'.
Msigwa ametoa pongezi hizo kwenye ukurasa wake wa mtandao wa kijamii na ameahidi kuwa wakitua nyumbani Tanzania kuna zawadi watapatiwa.
The Ramadhan Brothers wameibuka Washindi wa mashindano hayo usiku wa kuamkia leo Nchini Marekani na kujinyakulia Tsh milioni 637.5 pamoja na tuzo ya kwanza ya msimu huu wa mashindano hayo.
Hongereni sana Ramadhan Brothers.
✍️ Mjanja M1
Msigwa ametoa pongezi hizo kwenye ukurasa wake wa mtandao wa kijamii na ameahidi kuwa wakitua nyumbani Tanzania kuna zawadi watapatiwa.
The Ramadhan Brothers wameibuka Washindi wa mashindano hayo usiku wa kuamkia leo Nchini Marekani na kujinyakulia Tsh milioni 637.5 pamoja na tuzo ya kwanza ya msimu huu wa mashindano hayo.
Hongereni sana Ramadhan Brothers.
✍️ Mjanja M1