ZionGate
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 6,345
- 2,953
Inaelekea bunge ulifatili,juzi bungeni msigwa alizungumzia kuhusu ufungwaji wa barabara jumapili ili kuwawezesha machinga kufanya biashara na hizo taarifa zipo halmashauri Je hilo sio jambo jema,unachokitaka wewe ni kipi kama sio ubabe..Mkubwa kuhusu suala la kumuunga au kutomuunga mkono Msigwa inategemea na anachpokileta jukwaani.
Kama nia yake ni kutafuta umaarufu bila kuangalia athari zake kwa wananchji hilonitalipinga milele lakini kama anatoa mawazo ya maana kwa manufaa ya wananchi kwa nini nisimuunge mkono,
Itikadi pembeni, lazima tujadiliane kwa faida ya taifa letu.
Kama msigwa akifanya kazi aliyotumwa vizuri hata mimi nitampigia kura.
Mbona Ndesamburo amefanya mengi jimboni mwake na kila mtu anamsifia kwa hilo wakati yeye ni Chadema?