Tumsifu Samwel
JF-Expert Member
- Jul 30, 2007
- 1,407
- 159
Hivi mwanafunzi wa darasa la sita anaweza kuwa na umri gani? hii habari ya kizushi sana.
Sasa serikali au mahakama itahakikisha vipi? Watu wengine ufa kwenye gemu hasa wanapotumia energy nyingi kuliko iliyopo mwilini, yawezekana dada huyo ni wa shoka na anavuta kasi kwenye gemu sio mchezo; jamani kabla ya kumfuata basi tule balance diet ya kutosha lakini hata ukimtongoza tu unakufa, hii kali!
...Hili nalo neno...Mbona hata hiyo picha ya huyo msichana mi sioni zaidi ya huyo aliyetoa mimacho kitandani au ndio denti??Siamini kama ni kweli....hii ni waandishi wanajaribu kutafuta njia ya kujipatia pesa na umaarufu..hii issue imekuwa framed kama ile ya manyoya
<br />Dawa yake unajipaka mafuta ya kitimoto na kumtokea huyo mpenzi jini!
<br />sasa darasa la sita unapiga gemu na unajua kutongoza,kwa kweli kama hilo jini lingekua haliui mpaka sidhani kama ungefika chuo na kama ungefika basi ungekuwa na wanawake 15,750