BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,015
Na mwenyeji akipata ajali je, inakuwaje hapo?...Madereva wangapi tunasikia wanakufa Tanzania? Au nao wanakuwa wametoka nje?...Mwenyeji anapopata ajali na kufa ndio mta-substantiate ajali haikuweza kuzuilika? People Please!!!
Pumzikeni kwa Amani mliotutangulia. Poleni sawa Wafiwa.
Ukweli ni kwamba wenyeji nao wanajua namna ya kuzivunja sheria. Naam hata wenyeji wanaopoteza maisha katika barabara za Tanzania ni wengi mno. Kama sikosei mwaka 2004 au 2005 kuna vijana wanne au watano katika mwezi june na july walipoteza maisha katika barabara za Tanzania. Hao wote walikuwa wanaishi nje na walirudi Tanzania kwa likizo.
Imagine mtu aliyeendesha Tanzania miaka 10 au 15 tena aliendeshea Dar anajua uhuni wote wa barabara za Dar akwambie aisee naogopa kuendesha maana hiki kizungumkuti cha madaladala na madereva wengine kinaniacha hoi kabisa nisije kuwa statistics. Kwa hiyo ukisikia watu kama hao, unaamini kweli kuendesha bongo inabidi uwe na roho ngumu sana hasa kama ulikuwa nje kwa kipindi kirefu.