Poleni sana wafiwa, kila kifo ni mawaidha kwa tuliobaki, tuache mabaya tufanye mema, sote tunaelekea hukohuko na hakuna ataebaki. Tuzidishe kumcha Mungu na tuzidishe mambo ya kheri, tuwache nyuma sifa na mambo mema.
pole....mtambuzi. tushukuru mungu mama ameona maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru, anaweza akawa balozi mzuri kwa hayati mwl.nyerere juu ya watu walivyotumia mabilioni ya hela kwenye sikkuu hyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.