Msiba gani ulikugusa sana kati ya Mafisango, Kanumba na Magufuli?

mimi sio sisiEm ila msiba wa mr PRESIDENTulinipa huzuni.!rip Magufuli
 
Vyote vilikuwa ni vifo vya ghafla sana. Mafisango alifariki kwa ajali ya gari, Kanumba kwa kubamizwa ukutani na Magufuli kwa mshituko wa moyo.

Hawa wote walikuwa ni majabali kwenye fani zao.

Mafisango alikuwa gwiji wa soka, Kanumba ni manju wa maigizo na Magufuli rais wa nchi.
Msiba wa bibi kidude ulikua nima sana
 
Vyote vilikuwa ni vifo vya ghafla sana. Mafisango alifariki kwa ajali ya gari, Kanumba kwa kubamizwa ukutani na Magufuli kwa mshituko wa moyo.

Hawa wote walikuwa ni majabali kwenye fani zao.

Mafisango alikuwa gwiji wa soka, Kanumba ni manju wa maigizo na Magufuli rais wa nchi.
Definitely mwana mapnduzi Magufuli
 
Kijana wa hovyo 🤣🤣🤣
Ya mjomba magu nlijua asubuh maana night nliangusha usingz mnene kinoma, mi nkaendelea na mishe asalalee ilikuja hyo Simba dume huko daslam mnaita difender ilisambaza watu hamna Cha machinga wala duka wote funga Rudi nyumbani nkaenda kuangalia sinema zetu
 
Ya mjomba magu nlijua asubuh maana night nliangusha usingz mnene kinoma, mi nkaendelea na mishe asalalee ilikuja hyo Simba dume huko daslam mnaita difender ilisambaza watu hamna Cha machinga wala duka wote funga Rudi nyumbani nkaenda kuangalia sinema zetu
Kweli mwanaume unaangalia sinema zetu?? Nimelia sana 😂😂😂😂
 
Kweli mwanaume unaangalia sinema zetu?? Nimelia sana 😂😂😂😂
Sasa ntafanyaje nlirudi home saa mbili asubuhi ntaenda wapi kila napoangalia sioni Cha kuangalia, insta nimelika picha za makalio mpaka nimechoka fb ni matangazo ya waganga wa nyumbanitu, jf nlikuwa naona kama kernel ya wanaharakati
 
Sasa ntafanyaje nlirudi home saa mbili asubuhi ntaenda wapi kila napoangalia sioni Cha kuangalia, insta nimelika picha za makalio mpaka nimechoka fb ni matangazo ya waganga wa nyumbanitu, jf nlikuwa naona kama kernel ya wanaharakati
Ulishindwa kuangalia hata documentary?? Mpk sinema zetu?? 🤣
 
Back
Top Bottom