Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,066
- 4,085
- Thread starter
- #41
Ila wa maigizoMagufuli haukuwa msiba wa ghafla,
Ila wa maigizoMagufuli haukuwa msiba wa ghafla,
Makonda mswenge sana1. Amina Chifupa
2. Lissu kupigwa risasi(ingawa haikuwa msiba) pamoja na drama za Ex Sabufa na washirika wake.
Sherehe. Ila niliumia alipoondoka na roho za watu 90Hapo kila mmoja anajua msimba ulio wagusa wengi ni mmoja tuu wa Magufuli sema wengi wanaona aibu kusema na unafatiwa wa Kanumba!
Msiba wa bibi kidude ulikua nima sanaVyote vilikuwa ni vifo vya ghafla sana. Mafisango alifariki kwa ajali ya gari, Kanumba kwa kubamizwa ukutani na Magufuli kwa mshituko wa moyo.
Hawa wote walikuwa ni majabali kwenye fani zao.
Mafisango alikuwa gwiji wa soka, Kanumba ni manju wa maigizo na Magufuli rais wa nchi.
Definitely mwana mapnduzi MagufuliVyote vilikuwa ni vifo vya ghafla sana. Mafisango alifariki kwa ajali ya gari, Kanumba kwa kubamizwa ukutani na Magufuli kwa mshituko wa moyo.
Hawa wote walikuwa ni majabali kwenye fani zao.
Mafisango alikuwa gwiji wa soka, Kanumba ni manju wa maigizo na Magufuli rais wa nchi.
Mleta mada ana Nia ovu na Hayati Magufuli...tembelea nyuzi ama mabandiko yake utagundua kirahisi.Magufuli😪
Nilishindwa hadi kulala usiku ule.
Alimpindua nani?Definitely mwana mapnduzi Magufuli
Kijana wa hovyo 🤣🤣🤣Yaan katika wote hapo hamna hata alienishtua nlikuwa bize tu na mambo yangu
Ya mjomba magu nlijua asubuh maana night nliangusha usingz mnene kinoma, mi nkaendelea na mishe asalalee ilikuja hyo Simba dume huko daslam mnaita difender ilisambaza watu hamna Cha machinga wala duka wote funga Rudi nyumbani nkaenda kuangalia sinema zetuKijana wa hovyo 🤣🤣🤣
Kweli mwanaume unaangalia sinema zetu?? Nimelia sana 😂😂😂😂Ya mjomba magu nlijua asubuh maana night nliangusha usingz mnene kinoma, mi nkaendelea na mishe asalalee ilikuja hyo Simba dume huko daslam mnaita difender ilisambaza watu hamna Cha machinga wala duka wote funga Rudi nyumbani nkaenda kuangalia sinema zetu
Sasa ntafanyaje nlirudi home saa mbili asubuhi ntaenda wapi kila napoangalia sioni Cha kuangalia, insta nimelika picha za makalio mpaka nimechoka fb ni matangazo ya waganga wa nyumbanitu, jf nlikuwa naona kama kernel ya wanaharakatiKweli mwanaume unaangalia sinema zetu?? Nimelia sana 😂😂😂😂
Ulishindwa kuangalia hata documentary?? Mpk sinema zetu?? 🤣Sasa ntafanyaje nlirudi home saa mbili asubuhi ntaenda wapi kila napoangalia sioni Cha kuangalia, insta nimelika picha za makalio mpaka nimechoka fb ni matangazo ya waganga wa nyumbanitu, jf nlikuwa naona kama kernel ya wanaharakati