ni around 380,000 hadi 450,000[/QUOT
Hapana sio ivo ni 743,000 basic pay, net pay inaenda hadi kilo 6 na ushee inategemea uko kwenye mfuko gani wa hifadhi ya jamii, na kuna posho ya katikati ya mwez 180,000, alafu bado ukikaa kaa utapata allowance 3. Msidanganye Watu, na hapo bado huna hata nyota moja, kwenda kwenye nyota utakaa miaka 2 had 3 inategemea, soo ndo ivoo mkuu