fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,623
- 8,198
unampenda yeye au pesa zake?Haya mnaolipwa laki 2 naomba mje mumsaidie dada WA watu amekwama huku?
Kwan skuhizi mishahara inaanzia TSH ngap wajameni au ndio vita ya Eukran na Russia imebana Kila kitu mpaka mishahara?
Jamani TSH 200,000 ndio anapewa Benki ishakatwa makodi yote
Ps:
Mpenzi wake nI mwanaume jamaa, sio mwanamke anaomba ushauri NI mwanamke!
Sent from my CPH2371 using JamiiForums mobile app