PRESIDA TO BE.. JF-Expert Member Dec 12, 2012 301 199 Aug 8, 2019 #1 Wakuu kulingana na mada hapo juu hv hawa IT wa bank kama CRDB wanakula kiasi gani.... ///
Africa Tanzania JF-Expert Member Jun 13, 2015 1,504 2,262 Aug 8, 2019 #2 Sidhani kama matumbo yao yanajaza kilo mbili kwa mlo mmoja mkuu! Ila kwenye mshahara watakuwa wanapokea kiasi ambacho hutapata jibu kamili hapa! By the way.....Nenda Crdb, mtafute mshkaji mfanyakazi wa pale, omba namba akitoka kazini mcheki..Muulize swali lako kiutu uzima Naomba kuwasilisha mheshimiwa spika!
Sidhani kama matumbo yao yanajaza kilo mbili kwa mlo mmoja mkuu! Ila kwenye mshahara watakuwa wanapokea kiasi ambacho hutapata jibu kamili hapa! By the way.....Nenda Crdb, mtafute mshkaji mfanyakazi wa pale, omba namba akitoka kazini mcheki..Muulize swali lako kiutu uzima Naomba kuwasilisha mheshimiwa spika!
BROKE BOYS JF-Expert Member Jan 12, 2019 13,218 39,052 Aug 9, 2019 #3 Ina depend ana muda gani hapo toka aajiriwe wapo wanaokula hadi 3m per month, mshikaj wangu anakula 1m hapo crdb hta mwaka hana
Ina depend ana muda gani hapo toka aajiriwe wapo wanaokula hadi 3m per month, mshikaj wangu anakula 1m hapo crdb hta mwaka hana
Hazchem plate JF-Expert Member Feb 25, 2011 11,045 15,380 Aug 9, 2019 #4 Yani hata hujielewi. Huyo IT ni wa Elimu gani
PRESIDA TO BE.. JF-Expert Member Dec 12, 2012 301 199 Aug 9, 2019 Thread starter #5 Hazchem plate said: Yani hata hujielewi. Huyo IT ni wa Elimu gani Click to expand... Boss unamatusi....Poa ww jielewe tu
Hazchem plate said: Yani hata hujielewi. Huyo IT ni wa Elimu gani Click to expand... Boss unamatusi....Poa ww jielewe tu
meck pro JF-Expert Member Nov 25, 2018 1,352 2,917 Aug 9, 2019 #6 nani huyo tumfunge anakula shilingiiiii