KUNA ofisa mwenzetu wa polisi kituo cha Kijitonyama ametumwa na Yuauf Manji amkamate mwanasheria na Mwalimu wa Chuo Kikuu Huria, Kainerugaba Erick Msemakweli, kwa madai kwamba alimuomba rushwa ya Sh Milioni kumi, hatua ambayo sisi katika polisi tumeiona kwamba inalenga kuzima harakati zake za kufichua wizi ulifanywa kupitia kampuni ya Kagoda Agricltural Limited.
Bahati mbaya sana ni kwamba mtu anayetumiwa na Manji kufanya mambo hayo ana uhusiano mkubwa na Mkurugenzi wetu (DCI), Robert Manumba, lakini mara nyingine mtu huyo hutumia vibaya jina la DCI kwa maslahi binafsi.
My take: Sasa Tanzania ni nchi pekee ya ajabu maana mtuhimiwa ndiye anatoa amri kwetu tumkamate mtoa taarifa. Hali hii ikiendelea, yale mauaji yaliyopewa jina la "wananchi wenye hasira kali" yatahamia katika ngazi ya juu kama hatua kali dhidi ya watuhumiwa wakuu hazitachukuliwa na wananchi wataamua kuanza kuchukua sheria mkononi. Serikali isipuuze hii hali si nzuri hata kidogo kwa usalama wetu kama Taifa la amani kwa miaka 50 iliyopita.
Bahati mbaya sana ni kwamba mtu anayetumiwa na Manji kufanya mambo hayo ana uhusiano mkubwa na Mkurugenzi wetu (DCI), Robert Manumba, lakini mara nyingine mtu huyo hutumia vibaya jina la DCI kwa maslahi binafsi.
My take: Sasa Tanzania ni nchi pekee ya ajabu maana mtuhimiwa ndiye anatoa amri kwetu tumkamate mtoa taarifa. Hali hii ikiendelea, yale mauaji yaliyopewa jina la "wananchi wenye hasira kali" yatahamia katika ngazi ya juu kama hatua kali dhidi ya watuhumiwa wakuu hazitachukuliwa na wananchi wataamua kuanza kuchukua sheria mkononi. Serikali isipuuze hii hali si nzuri hata kidogo kwa usalama wetu kama Taifa la amani kwa miaka 50 iliyopita.