Msemaji Serikali ya Israel: Mwili wa Mtanzania Joshua unashikiliwa na Hamas

Msemaji wa Hamas aliweka wazi mauaji ya raia wa nchi zingine waliowateka ni Salam kwao kwamba kumpeleka raia wao Israel ni hatari. Na wao wapo vitani na Kila mshirika wa Israel.

Sasa kama walimteka na amafariki wakiwa nae, unataka Israel waseme Wana mwili wake?

Kumbuka kama alikua ameenda Israel Kwa kufuata taratibu zote, serikali yetu itataka kujua Nini kimejiri na mwili wake uko wapi. Lazima Israel watolee ufafanuzi.

Wewe unachopinga ni kipi, kwamba hajatekwa na Hamas, hajauwawa na Hamas au mwili wake haupo mikononi mwa Hamas?
Una ushahidi kuwa alitekwa na HAMAS?
 
Serikali ya Israel kwa kuitaarifu serikali ya Tanzania

14 Desemba miezi miwili baada ya tukio la oktoba 07

Kwahiyo Mkuu tokea tar 07 October, hapakuwahi kutolewa taarifa zozote kuhusu walipo hawa watanzania wenzetu hadi hiyo tar 14 December?
 
Msemaji wa Hamas aliweka wazi mauaji ya raia wa nchi zingine waliowateka ni Salam kwao kwamba kumpeleka raia wao Israel ni hatari. Na wao wapo vitani na Kila mshirika wa Israel.

Sasa kama walimteka na amafariki wakiwa nae, unataka Israel waseme Wana mwili wake?

Kumbuka kama alikua ameenda Israel Kwa kufuata taratibu zote, serikali yetu itataka kujua Nini kimejiri na mwili wake uko wapi. Lazima Israel watolee ufafanuzi.

Wewe unachopinga ni kipi, kwamba hajatekwa na Hamas, hajauwawa na Hamas au mwili wake haupo mikononi mwa Hamas?

Wabongo ni wabishi sana, bora umefafanua kwa lugha laini inayoeleweka...
 
Wabongo ni wabishi sana, bora umefafanua kwa lugha laini inayoeleweka...
Screenshot_20231219_113054_com.facebook.katana.jpg

AMRI KUTOKA KWA MUNGU WENU KWAMBA MUWE MASHOGA NADHANI USHAPATA BWANA EWE KAFIRI
 
Sawa walienda kwa magari na wakauwa watu 1400 .swali ni kwanini wa uchukue mwili wa Joshua tu kuuteka kwenda nao Gaza? Kwanini hawakuchukua na miili ya wale wengine waliowaua?

Israel si mahali salama kwa watu wasio Waisrael huo ndio ujumbe wa Hamas kwa mataifa mengine na ndio haswa inaaminika sababu ya watu wa mataifa mengine kuuawa wakiwemo hao Watanzania...
 
Kwahiyo Mkuu tokea tar 07 October, hapakuwahi kutolewa taarifa zozote kuhusu walipo hawa watanzania wenzetu hadi hiyo tar 14 December?
Taarifa iliyotolewa na serikali ya Israel ni Watanzania wawili Clemence na Joshua ni mateka wa Hamas hii hapa taarifa yenyewe ⤵️

Israel yawatambua Watanzania wanaoshikiliwa mateka na Hamas​

30 Oktoba 2023
Na Yusuf Jumah
BBC Swahili

TH


CHANZO CHA PICHA, ISRAEL MFA

Serikali ya Israel imethibitisha utambulisho wa watu wawili kutoka Tanzania wanaoaminika kushikiliwa na Hamas tangu shambulio la Oktoba 7 dhidi ya jamii za kusini mwa Israel, karibu na mpaka na Gaza.

Joshua Loitu Mollel na Clemence Felix Mtenga walikuwa nchini Israel kama sehemu ya programu ya mafunzo ya kilimo, kulingana na taarifa kutoka Wizara ya Mambo ya Nje ya Israel.

"Walitekwa nyara na magaidi wa Hamas na wanazuiliwa mateka huko Gaza," ujumbe huo ulisema. "Tafadhali ungana nasi kuwaombea warudi salama na mara moja."

Mollel na Mtenga walikuwa sehemu ya kundi la wanafunzi waliokuwa wakiishi Kibbutz Nahal Oz. Walikuwa wametoweka tangu mashambulizi hayo, lakini Israel ilikuwa bado haijathibitisha utambulisho wao au kuripoti kilichowapata.

Tanzania ilisema Alhamisi kuwa inafahamu kuhusu wanafunzi wawili waliopotea ambao ni sehemu ya kundi la Watanzania 260 nchini Israel, lakini bado haijathibitisha walipo. Watanzania tisa waliokuwa Israel walirejea nyumbani Oktoba 18.

BBC hapo awali ilizungumza na familia ya mmoja wao, Joshua Mollel, ambaye ni mmoja wa mwanafunzi hao lakini ikasema haikuwa imewasiliana naye tangu wakati wa shambulio hilo.
Habari hizo zinakuja huku kukiwa na majadiliano ya pendekezo la Hamas la kuwaachilia mateka.

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Hossein Amirabdollahian, alisema wiki iliyopita kwamba Hamas iko tayari kuwaachilia mateka lakini "ulimwengu unapaswa kuunga mkono kuachiliwa kwa Wapalestina 6,000" ambao wamekuwa wakishikiliwa katika jela za Israel.

"Viongozi wa vuguvugu la ukombozi la Hamas wametangaza kuwa tayari kuwaachilia wafungwa wasiokuwa wanajeshi na Iran, Uturuki na Qatar ziko tayari kutekeleza jukumu lao katika juhudi hii muhimu," alisema mwanadiplomasia huyo wa Iran.

Ubalozi wa Israel mjini Pretoria awali uliripoti kuwa raia wawili wa Afrika Kusini, raia wa Eritrea na raia mmoja wa Sudan pia walikuwa miongoni mwa waliofariki au kutoweka.
 
Taarifa iliyotolewa na serikali ya Israel ni Watanzania wawili Clemence na Joshua ni mateka wa Hamas hii hapa taarifa yenyewe ⤵️

Israel yawatambua Watanzania wanaoshikiliwa mateka na Hamas​

30 Oktoba 2023
Na Yusuf Jumah
BBC Swahili

TH


CHANZO CHA PICHA, ISRAEL MFA

Serikali ya Israel imethibitisha utambulisho wa watu wawili kutoka Tanzania wanaoaminika kushikiliwa na Hamas tangu shambulio la Oktoba 7 dhidi ya jamii za kusini mwa Israel, karibu na mpaka na Gaza.

Joshua Loitu Mollel na Clemence Felix Mtenga walikuwa nchini Israel kama sehemu ya programu ya mafunzo ya kilimo, kulingana na taarifa kutoka Wizara ya Mambo ya Nje ya Israel.

"Walitekwa nyara na magaidi wa Hamas na wanazuiliwa mateka huko Gaza," ujumbe huo ulisema. "Tafadhali ungana nasi kuwaombea warudi salama na mara moja."

Mollel na Mtenga walikuwa sehemu ya kundi la wanafunzi waliokuwa wakiishi Kibbutz Nahal Oz. Walikuwa wametoweka tangu mashambulizi hayo, lakini Israel ilikuwa bado haijathibitisha utambulisho wao au kuripoti kilichowapata.

Tanzania ilisema Alhamisi kuwa inafahamu kuhusu wanafunzi wawili waliopotea ambao ni sehemu ya kundi la Watanzania 260 nchini Israel, lakini bado haijathibitisha walipo. Watanzania tisa waliokuwa Israel walirejea nyumbani Oktoba 18.

BBC hapo awali ilizungumza na familia ya mmoja wao, Joshua Mollel, ambaye ni mmoja wa mwanafunzi hao lakini ikasema haikuwa imewasiliana naye tangu wakati wa shambulio hilo.
Habari hizo zinakuja huku kukiwa na majadiliano ya pendekezo la Hamas la kuwaachilia mateka.

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Hossein Amirabdollahian, alisema wiki iliyopita kwamba Hamas iko tayari kuwaachilia mateka lakini "ulimwengu unapaswa kuunga mkono kuachiliwa kwa Wapalestina 6,000" ambao wamekuwa wakishikiliwa katika jela za Israel.

"Viongozi wa vuguvugu la ukombozi la Hamas wametangaza kuwa tayari kuwaachilia wafungwa wasiokuwa wanajeshi na Iran, Uturuki na Qatar ziko tayari kutekeleza jukumu lao katika juhudi hii muhimu," alisema mwanadiplomasia huyo wa Iran.

Ubalozi wa Israel mjini Pretoria awali uliripoti kuwa raia wawili wa Afrika Kusini, raia wa Eritrea na raia mmoja wa Sudan pia walikuwa miongoni mwa waliofariki au kutoweka.

Shukran sana Kwa jibu mujarabu Mkuu, mambo yanatakiwa yaende namna hii.

Oh! Na tangu hiyo taarifa itolewe ndio ikaja hii ya 14 December nayo kutoka serikali ya Israel kwamba amefariki na mwili wanao Hamas, sahihi?
 
Shukran sana Kwa jibu mujarabu Mkuu, mambo yanatakiwa yaende namna hii.

Oh! Na tangu hiyo taarifa itolewe ndio ikaja hii ya 14 December nayo kutoka serikali ya Israel kwamba amefariki na mwili wanao Hamas, sahihi?
Hapana ilifuatia hii kwanza ya kifo cha kwanza cha Clemence Mtenga⤵️

Clemence Mtenga:Familia ya Mtanzania aliyefariki Gaza yazungumza​

TH

CHANZO CHA PICHA,MASHAV ISRAEL
20 Novemba 2023
Na Alfred Lasteck
BBC Dar es Salaam
Familia ya Marehemu Clemence Mtenga inasubiri Serikali ifanye taratibu za usafirishaji wa mwili wa marehemu kutoka nchini Israel ili waweze kufanya maziko.
Clemence alikuwa miongoni mwa wanafunzi wawili kutoka Tanzania ambao Serikali ya Israeli hapo awali ilithibitisha kuwa walitekwa na kundi la Hamas baada ya shambulio la Oktoba 7.

Akizungumza na BBC, Msemaji wa familia ya marehemu, Boniface Mtenga alisema kuwa kwa sasa hakuna wanachoweza kukifanya mpaka pale serikali itakapowaambia lini mwili utakapofika nchini kwa ajili ya maziko.
Mtenga alisema, “Tulipata taarifa ya kifo cha kijana wetu siku ya Ijumaa, ambapo Mkuu wa Wilaya ya Rombo alifika nyumbani akiwa na ujumbe huo kutoka kwa serikali…
“…Tulipokea taarifa hiyo kwa majonzi kwasababu tumeondokewa na kijana wetu ambaye ndio kwanza alianza kupambania ndoto zake za maisha. Kwa sasa hatuna cha kufanya mpaka pale serikali itakapotuletea mwili kwa ajili ya maziko,” alisema Mtenga na kuongeza kuwa wanatarajia kuwa leo watapata taarifa rasmi ya lini mwili utakapowasili.

Serikali kuthibitisha kifo chake​

TH

Ijumaa iliyopita, Serikali ya Tanzania ilitangaza kuwa Clemence, mwanafunzi mwenye miaka 22, ndiye aliyefariki.
Kwenye taarifa yake, serikali ilieleza kuwa inaendelea kuwasiliana na Israel juu ya taarifa za Mtanzania mwingine, Joshua Mollel ambaye bado anashikiliwa mateka.
Kwa mujibu wa Israel, jumla ya watu 230 walichukuliwa mateka baada ya shambulio la Oktoba 07. Mateka hao, ambao walipelekwa katika ukanda wa Gaza na wanatoka katika mataifa 25 tofauti, ikiwemo raia mmoja wa Afrika Kusini ambaye hadi sasa hajatambulika.

Safari ya kwenda Israel​

Kwa mujibu wa familia, Clemence aliondoka nchini Tanzania Septemba mwaka huu ambapo alienda nchini Israel kushiriki mafunzo ya kilimo biashara kwa utaratibu ulio chini ya mpango wa ushirikiano kati ya serikali za Tanzania na Israel.
Kijana huyo ni miongoni mwa wanafunzi wa kitanzania 260 waliokuwa nchini humo kwaajili ya masomo ya vitendo katika eneo la kilimo.

Ndio ikaja kufuatia hiyo ya Desemba 14⤵️

Serikali ya Tanzania yathibitisha kifo cha raia wake aliyeuawa baada ya kukamatwa na Hamas​

14 Desemba, 2023

Gari la Shirika la Msalaba Mwekundu likiwa limewabeba mateka wa Israel wenye asili ya Russia Novemba 26,2023. Picha na Belal Al SABBAGH / AFPTV / AFP


Gari la Shirika la Msalaba Mwekundu likiwa limewabeba mateka wa Israel wenye asili ya Russia Novemba 26,2023. Picha na Belal Al SABBAGH / AFPTV / AFP
Ona maoni

Wizara ya Mambo ya Nje ya Tanzania siku ya Alhamisi imethibitisha kifo cha mmoja wa Watanzania ambaye “aliuawa mara baada ya kukamatwa na Hamas” wakati wa mashambulizi ya Oktoba 7, huko Kusini mwa Israel.

Siku ya Alhamisi Waziri wa Mambo ya Nje, Januari Makamba amesema mamlaka “imearifiwa na serikali ya Israel kuwa Joshua Mollel, mwanafunzi wa Kitanzania aliyekuwa akisoma nchini Israel, ambaye alipoteza mawasiliano tangu Oktoba 7, 2023…aliuawa mara baada ya kukamatwa na Hamas.”

Waziri Makamba alisema kupitia mtandao wa X kuwa mamlaka ya Tanzania inafanya mipango kwa familia ya Mollel, akiwemo baba yake, kwenda Israel na afisa wa serikali “kukutana na balozi wetu na maafisa wa Israel na kupata taarifa zaidi” kuhusiana na kifo chake.

Serikali ya Israel iliwataja wanafunzi wawili kutoka Tanzania waliokuwa wakisoma nchini Isreal -- Clemence Felix Mtenga mwenye umri wa miaka 22 na Joshua Loitu Mollel mwenye umri wa miaka 21.

Wizara ya Mambo ya Nje ya Tanzania ilitangaza kifo cha Mtenga mwezi uliopita, bila ya kutoa maelezo kuhusu mauaji yake

Wanafunzi hao wawili ni miongoni mwa vijana wa Kitanzania wapatao 260 ambao walikwenda Israel kwa mafunzo ya kazi kwa vitendo katika kilimo cha kisasa chini ya mpango wa ushirikiano baina ya nchi hizo mbili.

Chanzo cha habari hii ni Shirika la habari la AFP

Na kweli hizi taarifa zinaleta mkanganyiko mkubwa unaozalisha maswali mengi kama ukifuatilia kwa makini.
 
Hapana ilifuatia hii kwanza ya kifo cha kwanza cha Clemence Mtenga⤵️

Clemence Mtenga:Familia ya Mtanzania aliyefariki Gaza yazungumza​

TH

CHANZO CHA PICHA,MASHAV ISRAEL
20 Novemba 2023
Na Alfred Lasteck
BBC Dar es Salaam
Familia ya Marehemu Clemence Mtenga inasubiri Serikali ifanye taratibu za usafirishaji wa mwili wa marehemu kutoka nchini Israel ili waweze kufanya maziko.
Clemence alikuwa miongoni mwa wanafunzi wawili kutoka Tanzania ambao Serikali ya Israeli hapo awali ilithibitisha kuwa walitekwa na kundi la Hamas baada ya shambulio la Oktoba 7.

Akizungumza na BBC, Msemaji wa familia ya marehemu, Boniface Mtenga alisema kuwa kwa sasa hakuna wanachoweza kukifanya mpaka pale serikali itakapowaambia lini mwili utakapofika nchini kwa ajili ya maziko.
Mtenga alisema, “Tulipata taarifa ya kifo cha kijana wetu siku ya Ijumaa, ambapo Mkuu wa Wilaya ya Rombo alifika nyumbani akiwa na ujumbe huo kutoka kwa serikali…
“…Tulipokea taarifa hiyo kwa majonzi kwasababu tumeondokewa na kijana wetu ambaye ndio kwanza alianza kupambania ndoto zake za maisha. Kwa sasa hatuna cha kufanya mpaka pale serikali itakapotuletea mwili kwa ajili ya maziko,” alisema Mtenga na kuongeza kuwa wanatarajia kuwa leo watapata taarifa rasmi ya lini mwili utakapowasili.

Serikali kuthibitisha kifo chake​

TH

Ijumaa iliyopita, Serikali ya Tanzania ilitangaza kuwa Clemence, mwanafunzi mwenye miaka 22, ndiye aliyefariki.
Kwenye taarifa yake, serikali ilieleza kuwa inaendelea kuwasiliana na Israel juu ya taarifa za Mtanzania mwingine, Joshua Mollel ambaye bado anashikiliwa mateka.
Kwa mujibu wa Israel, jumla ya watu 230 walichukuliwa mateka baada ya shambulio la Oktoba 07. Mateka hao, ambao walipelekwa katika ukanda wa Gaza na wanatoka katika mataifa 25 tofauti, ikiwemo raia mmoja wa Afrika Kusini ambaye hadi sasa hajatambulika.

Safari ya kwenda Israel​

Kwa mujibu wa familia, Clemence aliondoka nchini Tanzania Septemba mwaka huu ambapo alienda nchini Israel kushiriki mafunzo ya kilimo biashara kwa utaratibu ulio chini ya mpango wa ushirikiano kati ya serikali za Tanzania na Israel.
Kijana huyo ni miongoni mwa wanafunzi wa kitanzania 260 waliokuwa nchini humo kwaajili ya masomo ya vitendo katika eneo la kilimo.

Ndio ikaja kufuatia hiyo ya Desemba 14⤵️

Serikali ya Tanzania yathibitisha kifo cha raia wake aliyeuawa baada ya kukamatwa na Hamas​

14 Desemba, 2023

Gari la Shirika la Msalaba Mwekundu likiwa limewabeba mateka wa Israel wenye asili ya Russia Novemba 26,2023. Picha na Belal Al SABBAGH / AFPTV / AFP


Gari la Shirika la Msalaba Mwekundu likiwa limewabeba mateka wa Israel wenye asili ya Russia Novemba 26,2023. Picha na Belal Al SABBAGH / AFPTV / AFP
Ona maoni

Wizara ya Mambo ya Nje ya Tanzania siku ya Alhamisi imethibitisha kifo cha mmoja wa Watanzania ambaye “aliuawa mara baada ya kukamatwa na Hamas” wakati wa mashambulizi ya Oktoba 7, huko Kusini mwa Israel.

Siku ya Alhamisi Waziri wa Mambo ya Nje, Januari Makamba amesema mamlaka “imearifiwa na serikali ya Israel kuwa Joshua Mollel, mwanafunzi wa Kitanzania aliyekuwa akisoma nchini Israel, ambaye alipoteza mawasiliano tangu Oktoba 7, 2023…aliuawa mara baada ya kukamatwa na Hamas.”

Waziri Makamba alisema kupitia mtandao wa X kuwa mamlaka ya Tanzania inafanya mipango kwa familia ya Mollel, akiwemo baba yake, kwenda Israel na afisa wa serikali “kukutana na balozi wetu na maafisa wa Israel na kupata taarifa zaidi” kuhusiana na kifo chake.

Serikali ya Israel iliwataja wanafunzi wawili kutoka Tanzania waliokuwa wakisoma nchini Isreal -- Clemence Felix Mtenga mwenye umri wa miaka 22 na Joshua Loitu Mollel mwenye umri wa miaka 21.

Wizara ya Mambo ya Nje ya Tanzania ilitangaza kifo cha Mtenga mwezi uliopita, bila ya kutoa maelezo kuhusu mauaji yake

Wanafunzi hao wawili ni miongoni mwa vijana wa Kitanzania wapatao 260 ambao walikwenda Israel kwa mafunzo ya kazi kwa vitendo katika kilimo cha kisasa chini ya mpango wa ushirikiano baina ya nchi hizo mbili.

Chanzo cha habari hii ni Shirika la habari la AFP

Na kweli hizi taarifa zinaleta mkanganyiko mkubwa unaozalisha maswali mengi kama ukifuatilia kwa makini.

Wewe Bora unaenda kisomi kiongozi, Sasa Kwa mujibu wa hii taarifa, inamaana Hadi hapo huyu mwingine Bado alikua hai.

Sasa maswali yangu ya awali Kwa mleta Uzi, yalitokana na madai kwamba Joshua alifariki tar 07 October. Ndio maana nikapenda kujua mtiririko wa matukio kuanzia utekeaji/ upoteaji wa hao ndugu zetu hadi vifo vyao.

Shida nyingine hii vita Mara nyingi hua imeghubikwa na ushabiki kama ilivyo kwenye soka. Kutokana na hayo panakua na propaganda, taarifa nyingi zisizo rasmi zinazokinzana ilimradi tu ziupe ushindi upande husika.

Nafikiri hadi hapo umeona msingi na sababu ya maswali yangu ya awali Kwa mleta Uzi.

Ili ujadili mwili wa marehem, ni muhimu kujua kifo kilitokea lini. Ndio maana nikauliza habari za msiba wake nani slizileta na zilitolewa lini ( nashukuru umejibu Kwa ufasaha).

Sasa taarifa kwamba Joshua alifariki tar 07 October imetolewa na nani?

Mleta Uzi anahoji kwanini waliondoka na mwili wake tu wakaacha mingine ikimaanisha tayari aliywawa tar 07 October.

Ningependa akiweka sawa hicho chanzo kama ulivyofanya wewe kiongozi.
 
Back
Top Bottom