Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 16,618
- 31,138
Nandio ukweli kina bwana yule watakwambia ni collateral damage hua inatokeaHamas hawezi kuuwa foreign hili iweje Magaidi wa Israel wamemua wenyewe wameona ngoja watengeneze cinema kuwachafua Hamas.
Wale mateka wao watatu walishasema wameokota miili yao kumbe Hamas walikuwa wanawarekodi. Waliwambia hapa tupo kwenye mapambano mnaweza kufa cha kufanya hapa tunawaachia mjisalimishe shikeni vitambaa vyeupe nyanyueni mikono njoo haya nendeni hawakufika mbali walichezea riaasi za kutosha mmoja akawa analia huku anaongea kiHebrew majuzi tena wameuwa wanawake wawili Kanisa alikuwa anachungulia dirisha kulizwa wanasema walikuwa wafuasi wa Hamas.
Mtajua ukweli muda si mrefu Hamas kama watakuwa na huo mwili wa Joshua tatizo watu wanajifanya wana uchungu kumbe unafiki wakijua kama kauliwa na Israel hamna hata mmoja atanyanyua mdomo wake humu nawajua vizuri Waisrael weusi wa JF.
Ila kwa hili nakuhakikishia nna zaidi ua 50% mazayuni yamehusika
Ila hamas wanawasikiliza tu nakuwangojea kwenye zao wajae watoe ushahidi rasmi
Hamas hajawahi kuua watu kizembe namna ile