bandiko limekaa kitoto sana , majuz mtoa post alikuwa anachangia kwenye mada ya muislam mwenzie kuwa hamas walikuwa wanashikiria maiti za waisrael na walitaka kubadilishan kwa wafungwa wa kipalestina , leo ndo.mmejuwa Gaza hakuna umeme ?Soma tena mkuu hilo bandiko hapo juu naona hujaelewa vzuri