mpita-njia
JF-Expert Member
- Dec 3, 2010
- 1,733
- 1,610
Kiswahili chake inaitwaje?
Barabara au reli inayopita juu ya barabara au reli nyingine.
Kiswahili chake inaitwaje?
Hoja yao ni moja tu PINGA. Hopeless kabisa!Hawa jamaa ndio maana wanaambiwa wameishiwa hoja.
Hivi Mimi ndo sijui kusoma labda. Hivi ni wapi mleta mada alipopinga zaidi ya kutaka kujua kama ile nayo ni fly over au la?hongera mkuu leo umegundua unafiki wa wapinzani wenzetu ?? itafikia kipindi tutashangaa mpaka magari ya mwendo kasi maana awamu hii hatuna general standing argumentations
WANAJENGA MADARAJA YA KWENYE MAKUTANO YA BARABARA ILA KWA SABABU WATZ NI VILAZA WANAAMBIWA FLYOVER NA WANACHEKELEA!Imebidi niulize ili na mimi nitoe Tongotongo la Kitanzania , mimi ni mfanyabiashara wa Kimataifa na nimebahatika kusafiri kwenye nchi kadhaa za Kiafrica , Ulaya na America , nazifahamu BARABARA ZA JUU ( FLYOVER ) , kwa kadri ya ufahamu wangu hazifanani na kinachojengwa Tazara .
Naomba anayelijua jina la kivuko kinachojengwa Tazara anisaidie .
Naomba kuwasilisha .
Imebidi niulize ili na mimi nitoe Tongotongo la Kitanzania , mimi ni mfanyabiashara wa Kimataifa na nimebahatika kusafiri kwenye nchi kadhaa za Kiafrica , Ulaya na America , nazifahamu BARABARA ZA JUU ( FLYOVER ) , kwa kadri ya ufahamu wangu hazifanani na kinachojengwa Tazara .
Naomba anayelijua jina la kivuko kinachojengwa Tazara anisaidie .
Naomba kuwasilisha .
Ndio maana Ndege uliyopanda kwenda nayo Ulaya ni tofauti na zile unazopanda ukiwa Tanzania..!Imebidi niulize ili na mimi nitoe Tongotongo la Kitanzania , mimi ni mfanyabiashara wa Kimataifa na nimebahatika kusafiri kwenye nchi kadhaa za Kiafrica , Ulaya na America , nazifahamu BARABARA ZA JUU ( FLYOVER ) , kwa kadri ya ufahamu wangu hazifanani na kinachojengwa Tazara .
Naomba anayelijua jina la kivuko kinachojengwa Tazara anisaidie .
Naomba kuwasilisha .
Unafikiri hawajui? Leo kaamka kakosa cha kupinga ndio kakurupuka na hili.Maana ya neno flyover.
Tazara patakavyokuwa
Swali lingine?
WE NDIO HOPELESS KABISACDM nyie mnaakili za kindezi kabisaa kila kitu nyie ni kibaya kwenu, reli inayojengwa mseme ni mbaya, flyover mseme, miradi mbalimbali muiseme sijui mpoje aiseee..
Ikulu mtaisikia bombani tu tunataka maendeleo sio kelele za hovyo kutoka kwenu.
Am out
WANAJENGA MADARAJA YA KWENYE MAKUTANO YA BARABARA ILA KWA SABABU WATZ NI VILAZA WANAAMBIWA FLYOVER NA WANACHEKELEA!
NDIO UZURU WA KUWA MTANZANIA (UJINGA)
ILI KUKUSAIDIA; NAOMBA KWA UZOEFU WAKO WA KIMATAIFA UTUPATIE KWANZA MAANA YA FLYING OVER KWANZA KWANI INAONEKANA HUFAHAM!.Imebidi niulize ili na mimi nitoe Tongotongo la Kitanzania , mimi ni mfanyabiashara wa Kimataifa na nimebahatika kusafiri kwenye nchi kadhaa za Kiafrica , Ulaya na America , nazifahamu BARABARA ZA JUU ( FLYOVER ) , kwa kadri ya ufahamu wangu hazifanani na kinachojengwa Tazara .
Naomba anayelijua jina la kivuko kinachojengwa Tazara anisaidie .
Naomba kuwasilisha .
Hivi Mimi ndo sijui kusoma labda. Hivi ni wapi mleta mada alipopinga zaidi ya kutaka kujua kama ile nayo ni fly over au la?
Wale wa Mbagala hawatalifaidi?Maana ya neno flyover.
Tazara patakavyokuwa
Swali lingine?
labda niongeze swali lingine kwenye flyover kuna traffic lights??????? maana tazara kuna barabara zitakuwa na taa za kuongoza magariIle ni fly over. Barabara moja inapita juu ile ya ubungo ni intechange kuna barabara zaid ya tatu juu
Zipo flyover,interchange, roundabouts zenye traffic lights.labda niongeze swali lingine kwenye flyover kuna traffic lights??????? maana tazara kuna barabara zitakuwa na taa za kuongoza magari
hasira za nini sasa si ujibu?CDM nyie mnaakili za kindezi kabisaa kila kitu nyie ni kibaya kwenu, reli inayojengwa mseme ni mbaya, flyover mseme, miradi mbalimbali muiseme sijui mpoje aiseee..
Ikulu mtaisikia bombani tu tunataka maendeleo sio kelele za hovyo kutoka kwenu.
Am out