Msekwa: Kamati kuu CCM kuijadili Arusha

KAUMZA

JF-Expert Member
Aug 31, 2010
699
237
Makamu wa mwenyekiti wa CCM Taifa komredi Msekwa amesema Rais JK amesononeshwa sana na kilichotokea Arusha na amesema Kamati kuu kujadili suala hilo. Wakati huo huo Makamba ambaye ni katibu mkuu wa CCM amesema hakuna mazungumzo na CDM. Amesisitiza utii kwa aliyekuzidi nguvu"MAMLAKA"
 
Makamu wa mwenyekiti wa CCM Taifa komredi Msekwa amesema Rais JK amesononeshwa sana na kilichotokea Arusha na amesema Kamati kuu kujadili suala hilo. Wakati huo huo Makamba ambaye ni katibu mkuu wa CCM amesema hakuna mazungumzo na CDM. Amesisitiza utii kwa aliyekuzidi nguvu"MAMLAKA"

Je CC ikiamua mazungumzo itakuwaje? Makamba sijui ndiyo uzee huo......!
 
Makamba ataishia huko kwao sijui kijiji gani kilichozaa ms*nz kama huyu.Huvi nani kaweka huzi bani jamani? nataka nijilipue fasta
 
Ni hatua iliochelewa sana hapa na wala haina haja yoyote CCM kufanya kikao kwa hizi CACULATED DEATHS.

Na mpaka sasa I cannot rule out seeing some people being requested to defend themselves in THE HAGUE FOR DAILY MOUNTING ASTROCITIES AND POLICE BRUTALITY in killing for the good of a group of politicians.

Kwa mtaji wa MAUAJI YA KINYAMA PEMBA, UNGUJA NA ARUSHA, chama cha CCM kimefungua ukurasa mpya kisiasa nchini. Kote walikochakachulia Umeya waanze kuondoka wenyewe maana wananchi hatutawapa wakati tulivu kwa kwa kukumbatia dhuluma.
 
Mzee Makamba naona anataka kumaliza muhula wake wa Ukatibu Mkuu vibaya...... MAANA ANA JAZBA AMBAZO HAZINA MSINGI KAMA KIONGOZI, LAZIMA AWE NA SUBIRA. KAMA HAWA (design ya akina Makamba) NDO VIONGOZI WETU, BASI TUNA SAFARI NDEFU SANA KUFIKIA MAENDELEO NCHI HII......
 
nliwah kukaa bush. Mzee mmoja akawa mchovu akawa na kawaida ya kunukuu mistari ya bible akenda kilabuni anaitaja. Basi wanakijiji wanamsifia., mzee anajua sana biblia.
 
Tunasubiri kauli yao sijui watakuwa na jipya!
Watasema Msekwa ni mdini anatetea Wakatoliki wenzake hivyo afukuzwe katika Chama. Inakuwaje aseme hivyo wakati Alhaji Makamba ameshatoa msimamo wa kumwakilisha Alhaji Kikwete?
 
Hawa jamaa tatizo lao bado wana fikra za zama za 'Mwalimu' whereby governing a nation was a hybrid of a political party and all other sectors of the governing bodies joint together under a single party ideology. Chama cha siasa kina uwezo wa ku influence heavily matendo ya law enforcement bodies na kujiamulia mambo.

They need a reminder that our nation is in a second decade since the adaption of multi party system. Hivyo Chadema wanaweza fanya mkutano wao nao pia wakitaka na CUF sijui TLP and rest as far as we Tanzanians are concerned the outcome wont amount to anything in our interest as cititzens in this instance. Tunachotaka ni vyombo husika kufuatilia kilicho tokea Arusha na si CCM inaonaje or anyother political party for that matter.

CCM as political party and 'Makamba' senior can only impose descipline within their boundaries which lie with their party members and not all Tanzanians are still associated with the party. CCM is also not a government, only its elected members form part of the government and there are responsible bodies within the government to deal with such issues.

Hii ndio sababu wengine tunaona kwa nini watu mnahangaika na Makamba senior yeye ajachaguliwa na wananchi popote pale hawa represent yeye ni kiongozi tu wa watu waliomchagua kichama na mipaka yake inaishia ndani ya CCM period. Na huu upuuzi wa CCM kusema sijui watafanya kikao wa deal na matatizo ya taifa atutaki kusikia waongelee matatizo yao ya chama.

Mwisho wa siku sheria au katiba inapovunjwa tunataka kusikia vyombo husika vina deal na hivi vitu na si chama cha siasa. CCM si chombo cha sheria ni chama cha siasa na hapa tunahitaji chombo cha sheria na wataalamu wa sheria watuelezee uhalali wa matendo yaliyotokea Arusha na ikiwezekajana watu wawajibishwe kupitia sheria hiyo hiyo au mntaka kutuambia law enforcement yetu pia hipo chini ya CCM. Huu upuuzi kwa kweli unachosha na bado wapo usingizini hawa CCM.
 
Watasema Msekwa ni mdini anatetea Wakatoliki wenzake hivyo afukuzwe katika Chama. Inakuwaje aseme hivyo wakati Alhaji Makamba ameshatoa msimamo wa kumwakilisha Alhaji Kikwete?

Yamekuwa hayo ndugu yangu?Kamati kuu CCM inawakatoliki wangapi?
 
Back
Top Bottom