Msanii Amani wa Kenya...

Sijui ni nini hiii kwa kweli...
bahati mbaya au kusudi?


uchi.jpg

Ndo maana mzee wa commercial AY Alijikataa
 
The Boss, hiyo haiwezi kuwa bahati mbaya hata siku moja, YAANI MTU ASIVAE CHUPI THEN AVAE KIGAUNI KIFUPI NA HALAFU SISI TUJE TUONE NI BAHATI MBAYA..??? !!! Hapoo kaamua kuiweka hiyo makitu nje tu... hakuna cha bad luck wala nini ni maamuzi rasmi kabisa na alijuwa anaenda kufanya nini..
 
Maku nyeusi kama pipa lililokorogewa lami.

Mtu na mkewe walikuwa safarini kwenye gari lao. Safari ikiwa inaendelea wakaanza kugombana
mwanaume akapatwa na
gadhabu na kumwambia mkewe: wanawake wote mbwa tu! Mwanamk e akakaa
kimya kwa muda. Wakiwa katikati ya safari wakaona mbwa anakula kwenye jalala kandokando ya barabara, mwanamke
akamwambia mumewe: mama yako
huyo hapo anakula uchafu jalalani, tusimame tumpe lifti.
 
Mtu na mkewe walikuwa safarini kwenye gari lao. Safari ikiwa inaendelea wakaanza kugombana
mwanaume akapatwa na
gadhabu na kumwambia mkewe: wanawake wote mbwa tu! Mwanamk e akakaa
kimya kwa muda. Wakiwa katikati ya safari wakaona mbwa anakula kwenye jalala kandokando ya barabara, mwanamke
akamwambia mumewe: mama yako
huyo hapo anakula uchafu jalalani, tusimame tumpe lifti.

Si wote.
Wengine ni Binaadamu.
 
Back
Top Bottom