Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 8,397
- 6,365
Nikweli sisi kazi yetu ni kutoa tahadhari na kuelimishaSisi kazi yetu ni kukumbusha na kuonya, leo wanafurahi kesho kitakapoanzisha uasi ndani ya chama na nchi wasijesema hatukuonya.
Nikweli sisi kazi yetu ni kutoa tahadhari na kuelimishaSisi kazi yetu ni kukumbusha na kuonya, leo wanafurahi kesho kitakapoanzisha uasi ndani ya chama na nchi wasijesema hatukuonya.
Siyo kichapo tu Chama kingefutwa kimeleta magaidi.natafakari ingekua chana kingine hapo, wangepokea kichapo balaa
Hapa ni uwanja wa Jamhuri Morogoro jana kwenye mkutano wa ndani wa CCM, sijui kama katiba inaruhusu kwa sababu vikundi kama hivi vilipigwa marufuku ndani ya vyama vya siasa.
CC - #CDF Mabeyo
CC - #IGP Sirro
Marufuku hii ilihusu vyama vya siasa na si chama tawala, chanzo chake ilikuwa ni Chadema kuanzisha kikosi chao cha ulinzi.IGP Mangu: Marufuku kuwa na Vikundi vya Ulinzi vya Vyama vya siasa kwani ni kinyume cha Katiba na Sheria ya nchi
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini,IGP Mangu, amepiga marufuku vikundi vya ulinzi vya vyama vya siasa. *Polisi yapiga marufuku vikundi vya ulinzi katika vyama Nyendo Mohamed na Suleiman Msuya INSPEKTA Generali wa Polisi (IGP), Ernest Mangu amepiga marufuku vikundi vya ulinzi vya vyama vya siasa...www.jamiiforums.com
Na kazi yao inaonekana,wanateka,wanatesa, wanapiga risasi wapinzani, wanachoma ofisi za vyama vya upinzani na wanaua wapinzani.Hapa ni uwanja wa Jamhuri Morogoro jana kwenye mkutano wa ndani wa CCM, sijui kama katiba inaruhusu kwa sababu vikundi kama hivi vilipigwa marufuku ndani ya vyama vya siasa.
CC - #CDF Mabeyo
CC - #IGP Sirro
Hawa ni BokoharamHawa ndio INTERAHAMWE! Mfadhiri wao mkuu ni SERIKALI
Swadaktaaa!!!!!!Dawa yao hawa ni kutenda kama Zakaria wa Tarime au Mwamwindi wa Iringa, hapo heshima itakuwepo
Na ndiyo lengo kama hujuiAlafu mwisho wa siku ndio huwa wanaojiliwa kwenye vyombo vya ulinzi aise
Hapo ni Greenland na hill ni tofari la barafu linalotumika kujengea nyumba ya msonge (Lagoon).Acheni uongo uongo hapo ni South Afrika siyo Tanzania