The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 15,401
- 12,986
Hivi kituko alichokifanya Lipumba ulishawahi kukiona bafore mahali popote duniani!!?Maalim atakamatwa kwa mtego wake mwenyewe.
Anazungkadunia nzima kulia lia kuwa katiba ya Zanzibar inasiginwa,
Sasa yeye anasigina katiba ya CUF, kweli nyani haoni kundule!!!