jamii01
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 1,974
- 1,401
Nilikutana na rafiki yangu jana jioni..katika mazungumzo yangu aliniomba ushauri..nikaona ngoja niwashilishe kwa wadau..
Rafiki yangu huyu ana umri wa miaka 32.siku zilizopita alikuwa na marafiki wa kike(girlfriends)baada ya mda basi hakawa anatengeneza mahusianio yanavunjika baada ya mda..sasa yuko single ila shida anayoipata anasema amepoteza hamu kabisa ya kuwa na mahusiano na mwanamke..na wala ajisikii kuwa tena kwenye mapenzi..
Basi anasema huwa anasijikia furaha zaidi pale anapotoka na marafiki zake kuliko kuwa na girlfriend.
Sasa mtu wa namna hii unaweza kumsaidia namna gani li haweze kukurudia katika mahusiano isitoshe umri unakwenda inampasa hawe na family.
Rafiki yangu huyu ana umri wa miaka 32.siku zilizopita alikuwa na marafiki wa kike(girlfriends)baada ya mda basi hakawa anatengeneza mahusianio yanavunjika baada ya mda..sasa yuko single ila shida anayoipata anasema amepoteza hamu kabisa ya kuwa na mahusiano na mwanamke..na wala ajisikii kuwa tena kwenye mapenzi..
Basi anasema huwa anasijikia furaha zaidi pale anapotoka na marafiki zake kuliko kuwa na girlfriend.
Sasa mtu wa namna hii unaweza kumsaidia namna gani li haweze kukurudia katika mahusiano isitoshe umri unakwenda inampasa hawe na family.