CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,253
- 12,868
dah,ndo maana hatuendelei. saa nzima magar yamecmama ksa msafara ukizingatia barabara za katkat ya jiji la mza ni moja. inaboa jaman
dah,ndo maana hatuendelei. saa nzima magar yamecmama ksa msafara ukizingatia barabara za katkat ya jiji la mza ni moja. inaboa jaman
Wapi mkuu! Nimetoka pale elimu ya watu wazima karibu na chuo cha biashara kuelekea Victoria Palace Hotel - kapri Point mbona sijaona hii kitu? Naona tu msululu wa Ma Trafiki kila kona.
aliingia Mwanza tangu jana jioni, ule msafara nilidhani ni Vasco da Gama, kumbe na mzee wa mkasi anasindikizwa na ambulance kubwa!
aliingia Mwanza tangu jana jioni, ule msafara nilidhani ni Vasco da Gama, kumbe na mzee wa mkasi anasindikizwa na ambulance kubwa!
aliingia Mwanza tangu jana jioni, ule msafara nilidhani ni Vasco da Gama, kumbe na mzee wa mkasi anasindikizwa na ambulance kubwa!
kwani ana kifafa?
Ronaldinho bana... yeye kazi yake ni kuzindua tuu!
dah,ndo maana hatuendelei. saa nzima magar yamecmama ksa msafara ukizingatia barabara za katkat ya jiji la mza ni moja. inaboa jaman
OLD MANsees a youngWapi mkuu! Nimetoka pale elimu ya watu wazima karibu na chuo cha biashara kuelekea Victoria Palace Hotel - kapri Point mbona sijaona hii kitu? Naona tu msululu wa Ma Trafiki kila kona.