Sasa ni wazi Dar es Salaam imefunga. Hii ni baada ya msafara wa mgombea wa UKAWA Edward Lowassa kusimamishwa ma maelfu ya wananchi wa Ubungo na kuamua kumsindikizwa mpaka Tandale.
View attachment 293496
Hivi mgombea mwenza wa Lowasa Duni Haji yuko wapi??