Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,066
- 4,085
Kikwete hana utu, angekuwa Nyerere angeruhusu ambulance iunge kwenye msafara wake.
Hivi kumbe ni ambulance tu yenye uwezo wakuingilia msafara? Nilikuwa sijui. Kuna siku mwaka huu nilikuwa namsindikiza mjamzito ndani ya taxi uchungu ulimuanza ghafla. Texi ilikuwa inapiga honi na kuwasha taa lakini tulizuiwa kwa sababu ya msafara wa kiongozi. Yaani mgonjwa wangu chupa ilivunjika hapo hapo kwenye foleni na hatukuwa nalakufanyaa. Ila tuliweza kufika na akajifungua mlangoni pale hospitali. Pressure yangu lazima ilikuwa iko juu.nilisikitika sana na abiria wengine wa magari ya pembeni yetu waliotuona walijaribu kusaidia lakini ile hali iliwatisha. So only ambulances wanaruhusiwa? How many have access to ambulances DSM hii??!!wakati nikiwa driving school mwalimu wangu aliniambia ni ambulance pekee inayoweza kukatiza msafara wa rais, sasa hawa traffic sijui hawalitambui hili?