Am only
Senior Member
- Jan 12, 2014
- 104
- 76
Hlw wana jf wa jukwaa hili, mimi ni muhitimu wa kdto cha 6 mwaka huu, nmefaulu na kuchaguliwa kujiunga na chuo cha IFM dar cause ya banking and finance. Nlikua nategemea bodi ya mikopo ila nmekosa mpaka lot ya 4 na familia kiukwel haiwez kunisomesha kwan mpaka sasa najitegemea mwenyewe kwa kila kitu kulingana na uwezo duni wa wazazi wangu. Kwa sasa nimeona nitafute ufadhili wowote kutoka kwa taasisi, shirika, kampuni au mtu binafsi. Kwa yeyote mwenye kujua izo taasisi, mashirika, makampuni au mtu binafsi anisaidie tafadhali ili niweze kuendelea na masomo na kuikomboa familia yangu. Karibuni kwa msaada wa hali na mali tafadhali.