Rutunga M
JF-Expert Member
- Mar 16, 2009
- 1,769
- 1,382
Naomba Msaada nataka kutumia huduma ya iNTERENERT ya Vodacom kupitia modem ya ZANTEL nifanyeje
mbona sioni IMEI yake ila SN yake tu
Pia kuna mdau mmoja aliwahi kuandika humu kuwa Modem ya Zantel inaweza kutumia line ya Vodacom pia bila kuchakachua
taratibu zikoje,nisaidie mwenzenu
mbona sioni IMEI yake ila SN yake tu
Pia kuna mdau mmoja aliwahi kuandika humu kuwa Modem ya Zantel inaweza kutumia line ya Vodacom pia bila kuchakachua
taratibu zikoje,nisaidie mwenzenu