Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
wanaJF siku zote nimekuwa nikitaka kujikomboa mimi kama mdada
kwa kujishughulisha na biashar nyingine tofauti na kazi yangu.
Siku zote nimekuwa na hamu ya kufanya biashara ya Bar lakini mimi sinywi pombe yoyote
Sasa nimepata mtaji nataka kuanza biashara hii ya bar kwa maeneo ya Dar es salaam
Swali langu:
1.Je ni utaratibu gani inabidi nifuate ili niweze kuanza?
2.Ni vitu gani vya kufanya ili kuvutia wateja? hapa location yake nimeishapata ni nzuri
3. Je Biashara ya bar kuna unafuu wa kupata faida kidogo? maana makadirio yangu
ni kupata kama laki 2-3 kwa siku
4. Mtaji wangu ni 20million, Je huu inatosha kwa kuanzia?
kwa kujishughulisha na biashar nyingine tofauti na kazi yangu.
Siku zote nimekuwa na hamu ya kufanya biashara ya Bar lakini mimi sinywi pombe yoyote
Sasa nimepata mtaji nataka kuanza biashara hii ya bar kwa maeneo ya Dar es salaam
Swali langu:
1.Je ni utaratibu gani inabidi nifuate ili niweze kuanza?
2.Ni vitu gani vya kufanya ili kuvutia wateja? hapa location yake nimeishapata ni nzuri
3. Je Biashara ya bar kuna unafuu wa kupata faida kidogo? maana makadirio yangu
ni kupata kama laki 2-3 kwa siku
4. Mtaji wangu ni 20million, Je huu inatosha kwa kuanzia?