Charles kikoti
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 458
- 113
Cm yangu nilikuwa nalock kwa phone pattern nimejalibu kuingia imenigomea.Mala ya mwisho inaniomba ni sign in kwa google account nikiingiza account inanijibu ivalid user name or password naombeni mnisaidie wana JF.