Dio
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 1,274
- 158
Mambo vipi wapendwa,
Natumaini sisi sote ni wazima ninaombi kwa mwenye nyimbo hizi za Tanzania ambazo ni Tazama Ramani utaona nchi nzuri. Na Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wote
Naomba kwa mwenye nazo au sehemu ambayo naweza kwenda na kuzipata.
Asanteni sana.
Natumaini sisi sote ni wazima ninaombi kwa mwenye nyimbo hizi za Tanzania ambazo ni Tazama Ramani utaona nchi nzuri. Na Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wote
Naomba kwa mwenye nazo au sehemu ambayo naweza kwenda na kuzipata.
Asanteni sana.