sir kiduku
Member
- Oct 12, 2019
- 86
- 213
Habari za muda huu ndugu zangu.
Napenda kufahamu kama kuna mtu mwenye uzoefu la hili swala anielekeze. Kwa anayefahamu application ya skrill inayotumika kutuma pesa kutoka nnje ya nchi kuja hapa kwetu tanzania na pia inafanya hvyo dunia nzima.
Naomba anifahamishe zaidi namna ya kupokea pesa na jinsi ninavyoweza zihamishie kwenye account yangu ya bank.
Au kama ninaweza kupata hizo pesa kutoka nje ya nchi kuja kwenye account yangu moja kwa moja pia naomba mnisaidiee wakuu kunielewesha hapo.
NB: Nchi ni USA kuja hapa bongo
Na account ya bank ni NMB.
Shukrani naamini nitapata majibu.
Napenda kufahamu kama kuna mtu mwenye uzoefu la hili swala anielekeze. Kwa anayefahamu application ya skrill inayotumika kutuma pesa kutoka nnje ya nchi kuja hapa kwetu tanzania na pia inafanya hvyo dunia nzima.
Naomba anifahamishe zaidi namna ya kupokea pesa na jinsi ninavyoweza zihamishie kwenye account yangu ya bank.
Au kama ninaweza kupata hizo pesa kutoka nje ya nchi kuja kwenye account yangu moja kwa moja pia naomba mnisaidiee wakuu kunielewesha hapo.
NB: Nchi ni USA kuja hapa bongo
Na account ya bank ni NMB.
Shukrani naamini nitapata majibu.