Msaada wa kupata nyimbo hizi

MALCOM LUMUMBA

JF-Expert Member
Jul 26, 2012
20,897
63,784
Wasalaam ndugu zangu.
Samahani nilikuwa ninashida na badhi ya nyimbo na mtandaoni nimetafuta sana lakini nimeishia kusikila kwenye East African Tube.
Nyingine nikizipata kiwango cha sauti kinakuwa cha chini sana.
Hata kwa pesa mimi nitazilipia.

1. Norichiko- Nimemfukuza
2. Q Chillah- huwa unasema macho yalinidanganya (nakumbuka kiitikio tu)
3. Dr Leader- Msambaa
4. Stan boy- Sweet girl na nyimbo zake nyingine.
 
Wasalaam ndugu zangu.
Samahani nilikuwa ninashida na badhi ya nyimbo na mtandaoni nimetafuta sana lakini nimeishia kusikila kwenye East African Tube.
Nyingine nikizipata kiwango cha sauti kinakuwa cha chini sana.
Hata kwa pesa mimi nitazilipia.

1. Norichiko- Nimemfukuza
2. Q Chillah- huwa unasema macho yalinidanganya (nakumbuka kiitikio tu)
3. Dr Leader- Msambaa
4. Stan boy- Sweet girl na nyimbo zake nyingine.
umezipata
 
Back
Top Bottom