ngwenda ngulya
Member
- Jun 6, 2012
- 44
- 33
Habari.
Ninaomba mtu anayeweza kuniconnect namna ya kupata Tshs.6,000,000 mkopo.Kifupi jamaa yangu ana shida na hiyo pesa na ameniomba aniuzie hiyo gari. Mimi nimelipenda hilo gari na natafuta namna ya kulinunua na kulipa kwa mapatano. Ningefurahi kupata ushauri. Uwezo wangu wa kulipa kwa mwezi ni Tshs. 800,000. Yeyote mwenyekuweza kunipa mawazo nitashukuru.
Ninaomba mtu anayeweza kuniconnect namna ya kupata Tshs.6,000,000 mkopo.Kifupi jamaa yangu ana shida na hiyo pesa na ameniomba aniuzie hiyo gari. Mimi nimelipenda hilo gari na natafuta namna ya kulinunua na kulipa kwa mapatano. Ningefurahi kupata ushauri. Uwezo wangu wa kulipa kwa mwezi ni Tshs. 800,000. Yeyote mwenyekuweza kunipa mawazo nitashukuru.