Habari wana jamii forum kuna uzi niliwahi kusoma hapa kuwa kama simu yako ina internal storage ndogo unaweza kununua sd card or memory card original yenye gb kuanzia kumi na kuendelea na wakaelezea namna ya kuistall ikawa kama internal memory ya simu .naomba kwa anaekumbuka ule uzi nani aliupost ama nikasaidiwa jinsi ya kuistall nimenunua memory card ya gb 32, nataka ni install simu yangu ni sumsung j7 prime original lkn internal memory haitosh nimedownload app nyingi na vijinyombo imejaa msaada tutani
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app