Msaada wa kisaikolojia unahitajika

Habari zenu wakuu.
Mwenzenu yamenikuta, naombeni msaada namna ya kucontrol hii hali.

Mimi ni kijana wa 34yrs hv, nilikua na mahusiano na mdada mmoja ambae kwangu alikua rafiki, mshkaji na kama ndugu. Yeye ana 31yrs ana mtoto mmoja ambae baba wa mtoto ni marehemu.

Twende kwenye kisa, mahusiano haya yalikua serious kidogo na tulikua na mipango ya kukamilisha taratibu zote mwishoni mwa mwaka huu ili ndoa ifanyike.

Sasa wakuu kisa cha kunileta kwenu kupata ushauri imetokea BREAK UP YA GHAFLA SANA, jambo ambalo linaniumiza sana sina utulivu kisaikolojia.
Moyo wangu unadunda kupita kawaida, sina hamu ya kula, usingizi shida na ufanisi wangu katika kazi umepungua mno.
Kusema ukweli huyu mwanamke nilimpenda sana nae alionesha kunipenda na kunijali sana kwa namna alivyokuwa akifanya kwa muda mfupi ambao nimekua nae.

Kwanza yeye alikua anaishi kwa wazazi wake na nilikua na mazoea ya kumtembelea na ndugu zake tunafahamiana.
Alikua anatoka kazini na kuelekea kwao ama wakati mwingine anakuja kwangu, anaweza akakaa wiki zima kisha anarudi tena kwao weekend.
Sasa wiki iliyopita aliniaga juu kwa juu akiwa kazini akisema anaenda kwao ameitwa na mama yake mkubwa, nikasema sawa.

Tangu jioni ile mawasiliano yakawa ya shida sana, ilikua siku ya Alhamisi. Basi nikajua Ijumaa atakuja maana kwa kipindi hiki ni mfululizo wa mwezi mzima alikua hapa kwangu. Mara Ijumaa ikapita, Jumamosi, Jumapili mpaka namwona Jumatatu.

Anakuja amebadilika yuko serious sana si kama nilivyomzoea ananiambia ana mambo ya kuongea nami mengi sana, nikasema sawa keti tuongee. Yuko busy na simu.
Nikachukua simu nikaweka pembeni. Namwambia tuongee hana cha kusema mara anaanza kukusanya nguo zake.
Vipi tena?

Anasema nataka nichukue nguo za mtoto, nikiangalia anakusanya nguo za mtoto plus kuchanganya na zake. Basi nikatulia nijionee, akamaliza lile zoezi akaanza kuaga, nikamwambia mbona leo mapema mapema? Maana kwa kawaida hata kama amekuja na kuondoka same day huwa anaondoka jioni kabisa sasa siku hiyo nikasmell something fish.

Nikataka kuchukua simu, nione mawasiliano ya mle akawa mbishi kidogo akidai kuna msg sitaki usome humo. Msg gani akasema kuna vitu vya siri tumechat na mama. Nikamwambia its okay, text za mama mimi sisomi akaniacha.
Kuanza kusoma kuna namba ngeni imetext mara nyingi ikiita mke wng.. mke wng, na last text ya kwake ametuma ikisema chaji inaisha simu inazima soon!

Daaah, nikasema huyu mwamba atakua ndie anaemrubuni. Nikachukua namba, nikaweka kwa simu yangu. Akaaga na kutoka, sikumtoa kbs. Nikaipiga ile namba jamaa akapokea, nikamuuliza kuhusu mhusika akajibu anamfahamu ni mtu wake kitambo na alikua nae tangu Alhamis jioni na kaacha mtoto kwake hata ule muda tunaongea ameaga anaenda Serikali za mtaa.

Basi nikamwambia nashukuru, nilitaka tu nijue hilo maana sioni busara kuanza kugombea mwanamke. Tukaishia.

Sasa kinachoniumiza ni situation ilotokea kwa ghafla na mwanamke amenitext leo kuonesha kujutia, nikasema km ni kweli ngoja nijiridhishe aliko leo. Baada ya kutoka kazini nikachukua usafiri mpaka kwao, huku tunachat.

Nimefika nikamuuliza uko wapi? Anashindwa kujibu, mara anauliza kwani umeniona wapi?
Nikajua shits goes on! Nimerudi zangu home nimetulia ila sipo sawa kabisa.

Wataalam wa hizi incidents nifanyeje ili nikae sawa bila kuangukia kwenye mambo ya kunidhoofisha kiakili na kiafya?

Nawasilisha.
View attachment 2496610
Kwa mwanaume kijana mwenye vision na focus ya kutajirika maishani, hutakiwi kbs kuwa na girlfriend.

Kama huwezi kuzua lust (nyege), basi kuwa na girl mmoja tu, tena kusex ni mara 1-2 kwa mwaka.

Jifunze sperm retention, epuka unnecessary liabilities. Build your empire!
 
Mkuu cha kwanz hapo juu , baada yamkupgia mshikaj mnaoshea hukuona maan ya kugombania mwanamke

the same huyo mwanamke sio mkeo hujazaa nae na kibaya zaid huyo mwanamke kashazalishwa bro she have so much to lose than you

Kitu ingine mkuu uwe na vipoozoe mwanaume / yeye mwanamke anavipoozeo wew huna , __ shame on you


Mungu amekuonyesha mapema huyo sio sahihi japo wew ilipasw yeye kukujali wew kwakuw yeye ameshatangulia kuzaa na mtu mwingne.
 
Bro kwenye haya maisha usimwamini mtu yoyote itakusaidia sana. Ishi na watu wote kwa upendo na ikitokea kuna mtu anataka kuondoka kwenye maisha yako mfungulie mlango tu ila kamwe usimfungulie mlango akitaka kurudi ila msamehe tu kibinadamu hata urafiki usimpe iyo chance.

Hii sio kwa wenzi tunao ishi nao bali kwa kila mtu. Bora kuruhusu watu wapya kwenye maisha kuliko watu wazamani walio ondoka na waliopoona umuhimu wako wanataka kurudi.
 
Bro kwenye haya maisha usimwamini mtu yoyote itakusaidia sana. Ishi na watu wote kwa upendo na ikitokea kuna mtu anataka kuondoka kwenye maisha yako mfungulie mlango tu ila kamwe usimfungulie mlango akitaka kurudi ila msamehe tu kibinadamu hata urafiki usimpe iyo chance.

Hii sio kwa wenzi tunao ishi nao bali kwa kila mtu. Bora kuruhusu watu wapya kwenye maisha kuliko watu wazamani walio ondoka na waliopoona umuhimu wako wanataka kurudi.
Uzi ufungwe
 
Mungu anakupenda bro amekuepusha na single Mother hawa waliozaa ni shida hawachelewagi kukugeuka na litoto Lake likishakuwa likajua wewe siyo baba halisi wanakufanyia njama hata kukudhuru ili wabaki na Mali.
 
Basi nikamwambia nashukuru, nilitaka tu nijue hilo maana sioni busara kuanza kugombea mwanamke. Tukaishia.
Hapo ulipokuwa umeishia ni pazuri sana na ushukuru Mungu amekufunulia mapema utopolo wa huyo demu.

Futa kichwani, tulia anza upya.

Jiulize mwenyewe...Angekuwa amekufa.. ningemrudisha? Sasa chukulia hayupo maishani mwako kamwe
 
Habari zenu wakuu.
Mwenzenu yamenikuta, naombeni msaada namna ya kucontrol hii hali.

Mimi ni kijana wa 34yrs hv, nilikua na mahusiano na mdada mmoja ambae kwangu alikua rafiki, mshkaji na kama ndugu. Yeye ana 31yrs ana mtoto mmoja ambae baba wa mtoto ni marehemu.

Twende kwenye kisa, mahusiano haya yalikua serious kidogo na tulikua na mipango ya kukamilisha taratibu zote mwishoni mwa mwaka huu ili ndoa ifanyike.

Sasa wakuu kisa cha kunileta kwenu kupata ushauri imetokea BREAK UP YA GHAFLA SANA, jambo ambalo linaniumiza sana sina utulivu kisaikolojia.
Moyo wangu unadunda kupita kawaida, sina hamu ya kula, usingizi shida na ufanisi wangu katika kazi umepungua mno.
Kusema ukweli huyu mwanamke nilimpenda sana nae alionesha kunipenda na kunijali sana kwa namna alivyokuwa akifanya kwa muda mfupi ambao nimekua nae.

Kwanza yeye alikua anaishi kwa wazazi wake na nilikua na mazoea ya kumtembelea na ndugu zake tunafahamiana.
Alikua anatoka kazini na kuelekea kwao ama wakati mwingine anakuja kwangu, anaweza akakaa wiki zima kisha anarudi tena kwao weekend.
Sasa wiki iliyopita aliniaga juu kwa juu akiwa kazini akisema anaenda kwao ameitwa na mama yake mkubwa, nikasema sawa.

Tangu jioni ile mawasiliano yakawa ya shida sana, ilikua siku ya Alhamisi. Basi nikajua Ijumaa atakuja maana kwa kipindi hiki ni mfululizo wa mwezi mzima alikua hapa kwangu. Mara Ijumaa ikapita, Jumamosi, Jumapili mpaka namwona Jumatatu.

Anakuja amebadilika yuko serious sana si kama nilivyomzoea ananiambia ana mambo ya kuongea nami mengi sana, nikasema sawa keti tuongee. Yuko busy na simu.
Nikachukua simu nikaweka pembeni. Namwambia tuongee hana cha kusema mara anaanza kukusanya nguo zake.
Vipi tena?

Anasema nataka nichukue nguo za mtoto, nikiangalia anakusanya nguo za mtoto plus kuchanganya na zake. Basi nikatulia nijionee, akamaliza lile zoezi akaanza kuaga, nikamwambia mbona leo mapema mapema? Maana kwa kawaida hata kama amekuja na kuondoka same day huwa anaondoka jioni kabisa sasa siku hiyo nikasmell something fish.

Nikataka kuchukua simu, nione mawasiliano ya mle akawa mbishi kidogo akidai kuna msg sitaki usome humo. Msg gani akasema kuna vitu vya siri tumechat na mama. Nikamwambia its okay, text za mama mimi sisomi akaniacha.
Kuanza kusoma kuna namba ngeni imetext mara nyingi ikiita mke wng.. mke wng, na last text ya kwake ametuma ikisema chaji inaisha simu inazima soon!

Daaah, nikasema huyu mwamba atakua ndie anaemrubuni. Nikachukua namba, nikaweka kwa simu yangu. Akaaga na kutoka, sikumtoa kbs. Nikaipiga ile namba jamaa akapokea, nikamuuliza kuhusu mhusika akajibu anamfahamu ni mtu wake kitambo na alikua nae tangu Alhamis jioni na kaacha mtoto kwake hata ule muda tunaongea ameaga anaenda Serikali za mtaa.

Basi nikamwambia nashukuru, nilitaka tu nijue hilo maana sioni busara kuanza kugombea mwanamke. Tukaishia.

Sasa kinachoniumiza ni situation ilotokea kwa ghafla na mwanamke amenitext leo kuonesha kujutia, nikasema km ni kweli ngoja nijiridhishe aliko leo. Baada ya kutoka kazini nikachukua usafiri mpaka kwao, huku tunachat.

Nimefika nikamuuliza uko wapi? Anashindwa kujibu, mara anauliza kwani umeniona wapi?
Nikajua shits goes on! Nimerudi zangu home nimetulia ila sipo sawa kabisa.

Wataalam wa hizi incidents nifanyeje ili nikae sawa bila kuangukia kwenye mambo ya kunidhoofisha kiakili na kiafya?

Nawasilisha.
View attachment 2496610

Dah noma sana
 
Nimesoma huu uzi moyo ukaanza kwenda mbio utadhan mi ndiye mtendwa. Anyway, sijawahi kukutana exact situation kama hiyo, ila situation za mapenzi za kuumiza nshakutana nazo.

Like moja iliyowahi kunila sana ni manzi yangu wa muda mrefu alijazwa kibendi na mdau mwingine...ilinila si kidogo. Ila Sikuomba mtu ushauri. Maana najua katika mapenzi, hata ushauriwe vipi, mwamuzi wa mwisho ni wewe.

Ikabidi tuu nijipe muda. katikati ya maumivu hayo, nikachagua kujipa muda maana binafsi nilishindwa niamue nini. Alikuwa ni mwanamke ambae alifahamika hadi kwetu.

Yeye alikuwa tayari kuendelea na mimi maana hata aliyemjaza kibendi alimchinjia baharini. Mtihani kwangu ulikuwa ni kuamua niendelee nae tu au nipotezee...nilimpenda sana.

Hatimaye muda ukajibu. Nikajikuta nimepata ujasiri wa kumtamkia SIKUTAKI. Na hapo moyo wangu ulikuwa wazi kabisa kwamba simtaki. Alilia nakunibembeleza kwa kila meseji. Mimi muda ulishaniponya, hakufanikiwa.

Alifanikiwa kujifungua mtoto wa kike. Ilikuwa 2015 hiyo. And as i speak ni single maza.

Mimi baada ya muda mrefu nikafanikiwa kupata my match. Katoto flani kabichi kabisa, nikawanako in relation kwa miaka mingi, kakanifurahisha, nikakaoa, saii tuko na 3yrs boy na kibendi kingine.

So chakukushauri hapo 'TAKE YOUR TIME'. Maamuzi sahihi yanahitaji muda sahihi.
Hii stori ni yangu kabisa, tofauti tu ni hapo kwenye kibendi cha pili

Ila vyote mpaka umri wa kid ni kama wangu
 
Habari zenu wakuu.
Mwenzenu yamenikuta, naombeni msaada namna ya kucontrol hii hali.

Mimi ni kijana wa 34yrs hv, nilikua na mahusiano na mdada mmoja ambae kwangu alikua rafiki, mshkaji na kama ndugu. Yeye ana 31yrs ana mtoto mmoja ambae baba wa mtoto ni marehemu.

Twende kwenye kisa, mahusiano haya yalikua serious kidogo na tulikua na mipango ya kukamilisha taratibu zote mwishoni mwa mwaka huu ili ndoa ifanyike.

Sasa wakuu kisa cha kunileta kwenu kupata ushauri imetokea BREAK UP YA GHAFLA SANA, jambo ambalo linaniumiza sana sina utulivu kisaikolojia.
Moyo wangu unadunda kupita kawaida, sina hamu ya kula, usingizi shida na ufanisi wangu katika kazi umepungua mno.
Kusema ukweli huyu mwanamke nilimpenda sana nae alionesha kunipenda na kunijali sana kwa namna alivyokuwa akifanya kwa muda mfupi ambao nimekua nae.

Kwanza yeye alikua anaishi kwa wazazi wake na nilikua na mazoea ya kumtembelea na ndugu zake tunafahamiana.
Alikua anatoka kazini na kuelekea kwao ama wakati mwingine anakuja kwangu, anaweza akakaa wiki zima kisha anarudi tena kwao weekend.
Sasa wiki iliyopita aliniaga juu kwa juu akiwa kazini akisema anaenda kwao ameitwa na mama yake mkubwa, nikasema sawa.

Tangu jioni ile mawasiliano yakawa ya shida sana, ilikua siku ya Alhamisi. Basi nikajua Ijumaa atakuja maana kwa kipindi hiki ni mfululizo wa mwezi mzima alikua hapa kwangu. Mara Ijumaa ikapita, Jumamosi, Jumapili mpaka namwona Jumatatu.

Anakuja amebadilika yuko serious sana si kama nilivyomzoea ananiambia ana mambo ya kuongea nami mengi sana, nikasema sawa keti tuongee. Yuko busy na simu.
Nikachukua simu nikaweka pembeni. Namwambia tuongee hana cha kusema mara anaanza kukusanya nguo zake.
Vipi tena?

Anasema nataka nichukue nguo za mtoto, nikiangalia anakusanya nguo za mtoto plus kuchanganya na zake. Basi nikatulia nijionee, akamaliza lile zoezi akaanza kuaga, nikamwambia mbona leo mapema mapema? Maana kwa kawaida hata kama amekuja na kuondoka same day huwa anaondoka jioni kabisa sasa siku hiyo nikasmell something fish.

Nikataka kuchukua simu, nione mawasiliano ya mle akawa mbishi kidogo akidai kuna msg sitaki usome humo. Msg gani akasema kuna vitu vya siri tumechat na mama. Nikamwambia its okay, text za mama mimi sisomi akaniacha.
Kuanza kusoma kuna namba ngeni imetext mara nyingi ikiita mke wng.. mke wng, na last text ya kwake ametuma ikisema chaji inaisha simu inazima soon!

Daaah, nikasema huyu mwamba atakua ndie anaemrubuni. Nikachukua namba, nikaweka kwa simu yangu. Akaaga na kutoka, sikumtoa kbs. Nikaipiga ile namba jamaa akapokea, nikamuuliza kuhusu mhusika akajibu anamfahamu ni mtu wake kitambo na alikua nae tangu Alhamis jioni na kaacha mtoto kwake hata ule muda tunaongea ameaga anaenda Serikali za mtaa.

Basi nikamwambia nashukuru, nilitaka tu nijue hilo maana sioni busara kuanza kugombea mwanamke. Tukaishia.

Sasa kinachoniumiza ni situation ilotokea kwa ghafla na mwanamke amenitext leo kuonesha kujutia, nikasema km ni kweli ngoja nijiridhishe aliko leo. Baada ya kutoka kazini nikachukua usafiri mpaka kwao, huku tunachat.

Nimefika nikamuuliza uko wapi? Anashindwa kujibu, mara anauliza kwani umeniona wapi?
Nikajua shits goes on! Nimerudi zangu home nimetulia ila sipo sawa kabisa.

Wataalam wa hizi incidents nifanyeje ili nikae sawa bila kuangukia kwenye mambo ya kunidhoofisha kiakili na kiafya?

Nawasilisha.
View attachment 2496610
Hana upendo wowote kwako huyo malaya bali yupo tu kwako ili apate pa kupumzikia na mwanae. Na inaonekana unampenda ndo maana anakupelekesha na hata kama tutakushauri vipi lakin unavoonekana utarudiana nae tu kimyakimya. Uamuzi ni wako ila huyo HAKUFAI tafuta mwanamke mwingine anza mahusiano ikibi oa kabisa. Huyo ni malaya tu atakupotezea muda mwisho wa siku utabaki na majuto tena

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Habari zenu wakuu.
Mwenzenu yamenikuta, naombeni msaada namna ya kucontrol hii hali.

Mimi ni kijana wa 34yrs hv, nilikua na mahusiano na mdada mmoja ambae kwangu alikua rafiki, mshkaji na kama ndugu. Yeye ana 31yrs ana mtoto mmoja ambae baba wa mtoto ni marehemu.

Twende kwenye kisa, mahusiano haya yalikua serious kidogo na tulikua na mipango ya kukamilisha taratibu zote mwishoni mwa mwaka huu ili ndoa ifanyike.

Sasa wakuu kisa cha kunileta kwenu kupata ushauri imetokea BREAK UP YA GHAFLA SANA, jambo ambalo linaniumiza sana sina utulivu kisaikolojia.
Moyo wangu unadunda kupita kawaida, sina hamu ya kula, usingizi shida na ufanisi wangu katika kazi umepungua mno.
Kusema ukweli huyu mwanamke nilimpenda sana nae alionesha kunipenda na kunijali sana kwa namna alivyokuwa akifanya kwa muda mfupi ambao nimekua nae.

Kwanza yeye alikua anaishi kwa wazazi wake na nilikua na mazoea ya kumtembelea na ndugu zake tunafahamiana.
Alikua anatoka kazini na kuelekea kwao ama wakati mwingine anakuja kwangu, anaweza akakaa wiki zima kisha anarudi tena kwao weekend.
Sasa wiki iliyopita aliniaga juu kwa juu akiwa kazini akisema anaenda kwao ameitwa na mama yake mkubwa, nikasema sawa.

Tangu jioni ile mawasiliano yakawa ya shida sana, ilikua siku ya Alhamisi. Basi nikajua Ijumaa atakuja maana kwa kipindi hiki ni mfululizo wa mwezi mzima alikua hapa kwangu. Mara Ijumaa ikapita, Jumamosi, Jumapili mpaka namwona Jumatatu.

Anakuja amebadilika yuko serious sana si kama nilivyomzoea ananiambia ana mambo ya kuongea nami mengi sana, nikasema sawa keti tuongee. Yuko busy na simu.
Nikachukua simu nikaweka pembeni. Namwambia tuongee hana cha kusema mara anaanza kukusanya nguo zake.
Vipi tena?

Anasema nataka nichukue nguo za mtoto, nikiangalia anakusanya nguo za mtoto plus kuchanganya na zake. Basi nikatulia nijionee, akamaliza lile zoezi akaanza kuaga, nikamwambia mbona leo mapema mapema? Maana kwa kawaida hata kama amekuja na kuondoka same day huwa anaondoka jioni kabisa sasa siku hiyo nikasmell something fish.

Nikataka kuchukua simu, nione mawasiliano ya mle akawa mbishi kidogo akidai kuna msg sitaki usome humo. Msg gani akasema kuna vitu vya siri tumechat na mama. Nikamwambia its okay, text za mama mimi sisomi akaniacha.
Kuanza kusoma kuna namba ngeni imetext mara nyingi ikiita mke wng.. mke wng, na last text ya kwake ametuma ikisema chaji inaisha simu inazima soon!

Daaah, nikasema huyu mwamba atakua ndie anaemrubuni. Nikachukua namba, nikaweka kwa simu yangu. Akaaga na kutoka, sikumtoa kbs. Nikaipiga ile namba jamaa akapokea, nikamuuliza kuhusu mhusika akajibu anamfahamu ni mtu wake kitambo na alikua nae tangu Alhamis jioni na kaacha mtoto kwake hata ule muda tunaongea ameaga anaenda Serikali za mtaa.

Basi nikamwambia nashukuru, nilitaka tu nijue hilo maana sioni busara kuanza kugombea mwanamke. Tukaishia.

Sasa kinachoniumiza ni situation ilotokea kwa ghafla na mwanamke amenitext leo kuonesha kujutia, nikasema km ni kweli ngoja nijiridhishe aliko leo. Baada ya kutoka kazini nikachukua usafiri mpaka kwao, huku tunachat.

Nimefika nikamuuliza uko wapi? Anashindwa kujibu, mara anauliza kwani umeniona wapi?
Nikajua shits goes on! Nimerudi zangu home nimetulia ila sipo sawa kabisa.

Wataalam wa hizi incidents nifanyeje ili nikae sawa bila kuangukia kwenye mambo ya kunidhoofisha kiakili na kiafya?

Nawasilisha.
View attachment 2496610
Mkuu ushauri wangu kama unampenda huyo manzi jiue, kunywa sumu maana mwanamke amebaki huyo tu duniani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom