Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 481
Wakuu habari za hapa.
Mimi niko hapa Moshi najaribu kuunganisha maisha na gundi ya maji. Hivi karibuni kijana wangu kanishauri nifungue internet cafe. Nimezunguka na nimepata sehemu. Leo alikuwa busy na kununua computer used of course. Kwa sent nilizompa kapata ka 9 hivi. Nimempa na dell yangu mpya so jumla anazo 10. Kazi kubwa ni connection au server gani atumie. Tutakuwa na kikao leo usiku kama nitawahi ama kesho asubuhi ili nimkamilishie ofice yake. Ana imani kuwa ataweza kunilipa fedha zangu maana namkopesha. Nitumie kampuni gani iliyo fast? Kwetu huku ukiwa na internet fast utafanya kazi mpaka uchoke. Masaada wenu na ushauri unashukuriwa kabla.
Eeka Mangi
Mimi niko hapa Moshi najaribu kuunganisha maisha na gundi ya maji. Hivi karibuni kijana wangu kanishauri nifungue internet cafe. Nimezunguka na nimepata sehemu. Leo alikuwa busy na kununua computer used of course. Kwa sent nilizompa kapata ka 9 hivi. Nimempa na dell yangu mpya so jumla anazo 10. Kazi kubwa ni connection au server gani atumie. Tutakuwa na kikao leo usiku kama nitawahi ama kesho asubuhi ili nimkamilishie ofice yake. Ana imani kuwa ataweza kunilipa fedha zangu maana namkopesha. Nitumie kampuni gani iliyo fast? Kwetu huku ukiwa na internet fast utafanya kazi mpaka uchoke. Masaada wenu na ushauri unashukuriwa kabla.
Eeka Mangi