Enzi zimebadilika. Sio kila ndugu anapenda ukakae kwake ukiwa na mambo yako ya kikazi.... Kumbuka hilo.Hauna Ndugu Dar
Pale stendi ya Tegeta?.Zimbo Hotel ipo Kariakoo
Nenda Sisimizi guest house.Mi natafuta ya elfu 8 kwa watakaokujibu na mimi wanijibu pia
Habarini kaka na dada zangu.
Naomba msaada wa Hotel nzuri hapo Dar. Budget yangu ni Tshs 40,000 mpaka 50,000 kwa night.
Natarajia kukaa week nzima hapo Dar es Salaam.
Vitu navyozingatia ni utulivu na usafi wa sehemu.
Asanteni kwa muda wenu.
Hoteli ya 50? Labda lodge ya usiweke hukoHabarini kaka na dada zangu.
Naomba msaada wa Hotel nzuri hapo Dar. Budget yangu ni Tshs 40,000 mpaka 50,000 kwa night.
Natarajia kukaa week nzima hapo Dar es Salaam.
Vitu navyozingatia ni utulivu na usafi wa sehemu.
Asanteni kwa muda wenu.
Njoo madake, reca court hotel.... Kuna rooms za 30k mpaka 60k, pako vzrHabarini kaka na dada zangu.
Naomba msaada wa Hotel nzuri hapo Dar. Budget yangu ni Tshs 40,000 mpaka 50,000 kwa night.
Natarajia kukaa week nzima hapo Dar es Salaam.
Vitu navyozingatia ni utulivu na usafi wa sehemu.
Asanteni kwa muda wenu.
Unajua hotel kweli.Habarini kaka na dada zangu.
Naomba msaada wa Hotel nzuri hapo Dar. Budget yangu ni Tshs 40,000 mpaka 50,000 kwa night.
Natarajia kukaa week nzima hapo Dar es Salaam.
Vitu navyozingatia ni utulivu na usafi wa sehemu.
Asanteni kwa muda wenu.
Nenda Silver paradise iko Manzese bei nadhani ina anzia 50,000 pazuri sana.Habarini kaka na dada zangu.
Naomba msaada wa Hotel nzuri hapo Dar. Budget yangu ni Tshs 40,000 mpaka 50,000 kwa night.
Natarajia kukaa week nzima hapo Dar es Salaam.
Vitu navyozingatia ni utulivu na usafi wa sehemu.
Asanteni kwa muda wenu.
Akifukuzwa aje umu atulilie mumtukaneHauna Ndugu Dar
Mimi napenda ndugu zangu wafikie kwangu..... Nimeona watu wanateseka mtu akifikia kwa jamaa yake...Enzi zimebadilika. Sio kila ndugu anapenda ukakae kwake ukiwa na mambo yako ya kikazi.... Kumbuka hilo.
Tukutane mtanzania hotel tandale (joke)Mi natafuta ya elfu 8 kwa watakaokujibu na mimi wanijibu pia
Manzese kumestaaribika siku hizi?Nenda Silver paradise iko manzese