Msaada wa hizi hela nizifanyeje??Nitumie au niziache??

Soma contract yako na bank...Kisheria benki wana uwezo wa kuja kuichukua badae. Sasa kama wewe umeitumia...watachukua yakwako! That is the law at least of where i reside!

Mtoto ushauri wako ni wa busara....
Papizo, sawa inaonekana watu wengi hapa wanata wewe ukwibe hizo fedha... lakini maana yake ni kuvunja sheria (soma contract)
Sasa mfano hiyo hela ingekuwa imetolewa kwako imeingia kwa mtu mwingine au wewe ulikuwa unatuma kimakosa ukakosea account number ukatuma kwa mtu mwingine, ukaambiwa jamaa aliyewekewa kakwiba ungejisikiaje?

Kwa mantiki haya UFISADI sijui kama tutaweza kuupiga vita... inaonekana imani imekwisha kabisa....
Mimi niungewaambia bankers wakazitoa.
Kumbuka wanasema ukipata kisicho halali , kitaondoka tu kwa namna hiyo hiyo, hutafanyia jambo la maana, au na wewe utakuja kupoteza hivyo hivyo, bora usipoteze heshima yako.. wataarifu warudishe , kuwa mwaminifu....
 
Nikizingatia complications za kufungua account za benki bongo napata jibu kwamba kilichotokea kilishawekewa tahadhari tangu account inafunguliwa hivyo kama uko tayari ndugu zako kuwa harassed juu ya kuchukua pesa isiyokuwa ya kwako, naamini mpaka hapa kwa maelezo yangu haya jibu utakuwa nalo. Cha msingi nakubaliana na wale wanaoamini kwamba bahati za kweli zipo japo kwa tafsiri bahati haipangwi kama ilivyotokea kwako.

Ni vyema ukasubiri kama unaona huwezi kusubiri basi toa taarifa, kuna u mafia unafanyika kwa watu walio tofautiana na system na wana shughuli zao na wana jiamina huweza kuingiziwa pesa kama namna ya kutaka kuwachafua ikitokea kwamba wametumia pesa zisizo zao itatangazwa kwamba yalifanyika makosa katika benki ili kufanya deposit hiyo lakini aliyeingiziwa pesa hizo hakuwa mwaminifu, mpaka hapo kama wewe ni prominent figure kwa vyovyote itakavyo kuwa lakini mpaka hapo utakuwa umechafuka tayari.
 
Sasa nadhani humu kuna wazoefu wengi sana, Leo nimepita mjini asubuhi nimecheck Mini statement yangu nimekuta kuna hela zimeingia kwa TZS naweza kusema ni kama 6,700,000M sasa kuna hela zangu huwa zinaingia lakini nilicheck nikakuta zimeingia zaidi sio kama vile zinavyoingia siku zote I mean zilikuwa wamezidisha, Sasa nikawa mimekaa kimya sijafanya kitu chochote, Sasa hela hizi walizoingiza zimeingia mara 3 kwa kiasi tofauti sasa kwa hiyo ukijumlisha zote unapata hicho kiasi nilichokisema hapo. Sasa nilivyoona hivyo nilishtuka sana nikasema sijawahi kupata hiyo kitu ila wengine inawatokea. Sasa nikafikiria je ni mtu anayenifahamu au ni vipi maana kwa nini ziingie mara 3 kwenye account yangu mimi tu?Sasa nikasema wacha nisubirie lakini hamna aliyeniambia mpaka sasa ila zinaonyesha kwamba system imefanya makosa na zimeonekana zimeingia automatically

Swali hapa ni kwamba
1)Je nizikamue kwa mambo mengine ya maana??
2)Je nikawataarifu bank kwamba kuna hela zimeingia sijui zimetoka wapi??
3)Je nikauke kwa mda gani then nianze kuzitumbua??

Bado najiuliza maana nisije kuanza kuzikamua nikaja pata matatizo, Kwa hiyo naombeni msaada wa mawazo hapo.

N.B sipo bongo mimi!

Haya hutokea sana.Ni makosa ya kawaida.Those systems have been developed by human beings.Kama zilivyoingia,vivyo hivyo zitatwaliwa!Dont touch them 'moneys'.

Ahh jinafasi tuu wakikuuliza baadae unawaambia hukujua???

Humtakii mema wewe.Papizo hii ya Maria Roza hii changanya na ya kwako.

Nikizingatia complications za kufungua account za benki bongo napata jibu kwamba kilichotokea kilishawekewa tahadhari tangu account inafunguliwa hivyo kama uko tayari ndugu zako kuwa harassed juu ya kuchukua pesa isiyokuwa ya kwako, naamini mpaka hapa kwa maelezo yangu haya jibu utakuwa nalo. Cha msingi nakubaliana na wale wanaoamini kwamba bahati za kweli zipo japo kwa tafsiri bahati haipangwi kama ilivyotokea kwako.

Ni vyema ukasubiri kama unaona huwezi kusubiri basi toa taarifa, kuna u mafia unafanyika kwa watu walio tofautiana na system na wana shughuli zao na wana jiamina huweza kuingiziwa pesa kama namna ya kutaka kuwachafua ikitokea kwamba wametumia pesa zisizo zao itatangazwa kwamba yalifanyika makosa katika benki ili kufanya deposit hiyo lakini aliyeingiziwa pesa hizo hakuwa mwaminifu, mpaka hapo kama wewe ni prominent figure kwa vyovyote itakavyo kuwa lakini mpaka hapo utakuwa umechafuka tayari.

Well said.
 
Wacha ujinga wewe kwani hufahamu bankers ndio wezi wakubwa hapa duniani? ( Usiniulize maana mimi nimefika hadi mbinguni kule system kidogo nzuri) Kwangua account halafu ifungilie mbali na upotee khe khe khe .... ... unafikiri recession imeingiaje? Waswahili walisema wajinga ndio waliwao. Mafisadi kila uchwao wanawaibia walalahoi wewe bado unazubaa zubaa tu.

Kwanza hizo sio fweza nyingi za kuja kubabaisha nazo hapa na viswali vya kijinga ebo! Nyie mods vipi mmelala nini au mmenunuliwa na Chama Cha Majambazi?

umefika mbinguni? mbingu gani uliyoenda, kwa shetani ndo mnaita mbinguni, bila shaka wewe kama sio shehe yahya, basi ni mchawi fulani au mganga wa kienyeji, mbona haueleweki unaposema umefika mbinguni, manake nyie mkienda kuzimu kwa adui shetani mchafu mnasema mmeenda mbinguni...hopeless

usimshauri mwenzio kuwa mwizi kama ulivyo wewe. kwa kifupi, kama akipoteza uaminifu na banker wake, unafikiri siku akitaka kupata mkopo wata mwamini wakati alipopata over-credit alilama pesa...unafikiri hawata mgundua baada ya muda...nafikiri ili kuwaonyesha kuwa wewe ni mteja mwaminifu anatakiwa tu awaambie...msipende kula vitu ambavyo si jasho lenu...sasa mtu kama wewe utamkemea fisadi wakati wewe mwenyewe umejawa na roho ya kifisadi?...kama una hasira na maisha, tulia kijana,just relux and take it easy, piga kazi utafanikiwa tu kwa njia halali OK!
 
Ni suala la mda watazichukua makosa kama hayo yanatokeaga Niliwahi kweda ATM kuchukua pesa zikatoka zaidi nilichukua pesa nikapeleka nyumbani kucheck upepo baada ya mda walimipigia simu wanadai pesa yao!
System lazima i balance na kama kuna fault lazima wataiona tu!

Thanks mzee hapo nimekupata kabisa na wala hamna shaka na nashukuru kwa ushauri wako wa busara.

Ahh jinafasi tuu wakikuuliza baadae unawaambia hukujua???

Mhhh acha naona hapo kidogo unanipoteza.

hizo hela zimeingia kwa makosa baada ya muda watagundua hilo kosa watazichukua,kama hujali kuharibu account/credit score yako tumia otherwise usiziguse watakudai.

Mkuu hiyo kitu kwangu sio mgeni naelewa sana tena sana na siwezi kutumia mzigo najuwa sio wangu.

Naogopa zisije kuwa ni za maharamia wa Sudan, the best thing nikuwajulisha bankers ili upate haki yako otherwise, nakushauri kaombe fasta bank statement ambayo ndo itakupa ukweli wa mambo.

Otherwise, waweza kukamatishwa na kesi feki ya kudhamini maharamia, by the way, ungesema uliko.

Thanks mzee sio za maharamia nimeshapata bank statements,Then hivi vitu sio mgeni sana mkuu najuwa zaidi kama zingekuwa hela fake zisingeruhusiwa kuingia kwenye account.

source yake? ni mishahara au?.,jua haki zako;'ushauri upo lakini toa habari kamilifu wapo wengi watakao kushauri

Thanks mzee kwa ushauri wako wa busara,Ni kwamba huwa wananiingizia mshahara ila sasa huo mshahara walionipa wamenipa na wamenizidia zaidi mshahara wangu,kuja kucheck kama baada ya siku tatu nikakuta tena hizo hela zimeingia mara tatu mfululizo na viwango tofauti baada ya kuniwekea mshahara wangu.

Hii inatokea mara nyingi tu, kisheria ni kosa kuzitumia ziache tu watazichukua baada ya mda au itaarifu benki yako kujipunguzia matatizo, hauwezi jua zimetoka wapi.

Mzee thanks kwa ushauri ila hapa nilipo time inabana zaidi nadhani watazichukua tu wenyewe sina shida ya kusema nitumie hela kama hizo.

Soma contract yako na bank...Kisheria benki wana uwezo wa kuja kuichukua badae. Sasa kama wewe umeitumia...watachukua yakwako! That is the law at least of where i reside!

Thanks mzee ushauri mzuri sana na huu ndio niliokuwa nategemea zaidi,

Acha tamaa
benki huwa wanafanya makosa ya kawaida kama hayo...
Mda si mrefu watagundua na kukudai.....
We tulia tu kwanza,usizitumie mpaka watakapo gundua.
Au wataarifu....

Mkuu tamaa yangu hapo ipo wapi??Je nimesema sina hela za kutumia,Anyway lakini ni kawaida sina shida ya kutumia hizo hela mzee kama ningekuwa empty na nina shida nadhani nisinge sema kabisa na wala nisingeomba ushauri ila kama kuomba ushauri hapa nifanye nini sasa naonekana na tamaa sio mbaya kaka....

kazidroo alafu uziweke ktk accaunt ingine then usikilizie kwanza,

Thanks mzee kwa ushauri.

Una uhakika siyo wewe uliyefanya makosa na hizo pesa ni pesa zako halali?

Thanks mkuu ila sijafanya makosa yoyote yale.

Wacha ujinga wewe kwani hufahamu bankers ndio wezi wakubwa hapa duniani? ( Usiniulize maana mimi nimefika hadi mbinguni kule system kidogo nzuri) Kwangua account halafu ifungilie mbali na upotee khe khe khe .... ... unafikiri recession imeingiaje? Waswahili walisema wajinga ndio waliwao. Mafisadi kila uchwao wanawaibia walalahoi wewe bado unazubaa zubaa tu.


Kwanza hizo sio fweza nyingi za kuja kubabaisha nazo hapa na viswali vya kijinga ebo! Nyie mods vipi mmelala nini au mmenunuliwa na Chama Cha Majambazi?

Ongea point kama huna cha kusema keep quite.Sidhani kama ulilazimishwa kujibu hii topic.Nani alikuambia kwamba nashida na hizo pesa.?

Mtoto ushauri wako ni wa busara....
Papizo, sawa inaonekana watu wengi hapa wanata wewe ukwibe hizo fedha... lakini maana yake ni kuvunja sheria (soma contract)
Sasa mfano hiyo hela ingekuwa imetolewa kwako imeingia kwa mtu mwingine au wewe ulikuwa unatuma kimakosa ukakosea account number ukatuma kwa mtu mwingine, ukaambiwa jamaa aliyewekewa kakwiba ungejisikiaje?

Kwa mantiki haya UFISADI sijui kama tutaweza kuupiga vita... inaonekana imani imekwisha kabisa....
Mimi niungewaambia bankers wakazitoa.
Kumbuka wanasema ukipata kisicho halali , kitaondoka tu kwa namna hiyo hiyo, hutafanyia jambo la maana, au na wewe utakuja kupoteza hivyo hivyo, bora usipoteze heshima yako.. wataarifu warudishe , kuwa mwaminifu....

Mkuu nadhani banker na wenyewe sio wa kuwaamini sana so nadhani kama kuzitoa zaidi watazitoa wenyewe sina shida ya kusema nizitumie.ila asante sana kwa ushauri wako wa busara

Nikizingatia complications za kufungua account za benki bongo napata jibu kwamba kilichotokea kilishawekewa tahadhari tangu account inafunguliwa hivyo kama uko tayari ndugu zako kuwa harassed juu ya kuchukua pesa isiyokuwa ya kwako, naamini mpaka hapa kwa maelezo yangu haya jibu utakuwa nalo. Cha msingi nakubaliana na wale wanaoamini kwamba bahati za kweli zipo japo kwa tafsiri bahati haipangwi kama ilivyotokea kwako.

Ni vyema ukasubiri kama unaona huwezi kusubiri basi toa taarifa, kuna u mafia unafanyika kwa watu walio tofautiana na system na wana shughuli zao na wana jiamina huweza kuingiziwa pesa kama namna ya kutaka kuwachafua ikitokea kwamba wametumia pesa zisizo zao itatangazwa kwamba yalifanyika makosa katika benki ili kufanya deposit hiyo lakini aliyeingiziwa pesa hizo hakuwa mwaminifu, mpaka hapo kama wewe ni prominent figure kwa vyovyote itakavyo kuwa lakini mpaka hapo utakuwa umechafuka tayari.


Mzee huku unaweza kuwa na account hata 4 hiyo kitu ya kufungua wala huku hamna tatizo sema inabidi uwamifu uwepo tu ndio cha muhimu sana.ila asante sana kwa ushauri wako


Haya hutokea sana.Ni makosa ya kawaida.Those systems have been developed by human beings.Kama zilivyoingia,vivyo hivyo zitatwaliwa!Dont touch them 'moneys'.

Humtakii mema wewe.Papizo hii ya Maria Roza hii changanya na ya kwako.


Thanks mzee kwa point nzuri na nimekuelewa vizuri kabisa.ila naona wengine hapo waliotangulia wameongea bila kufikiria kutoka vichwani mwao na hapa ndio napata kuchuja.


Well said.

umefika mbinguni? mbingu gani uliyoenda, kwa shetani ndo mnaita mbinguni, bila shaka wewe kama sio shehe yahya, basi ni mchawi fulani au mganga wa kienyeji, mbona haueleweki unaposema umefika mbinguni, manake nyie mkienda kuzimu kwa adui shetani mchafu mnasema mmeenda mbinguni...hopeless

usimshauri mwenzio kuwa mwizi kama ulivyo wewe. kwa kifupi, kama akipoteza uaminifu na banker wake, unafikiri siku akitaka kupata mkopo wata mwamini wakati alipopata over-credit alilama pesa...unafikiri hawata mgundua baada ya muda...nafikiri ili kuwaonyesha kuwa wewe ni mteja mwaminifu anatakiwa tu awaambie...msipende kula vitu ambavyo si jasho lenu...sasa mtu kama wewe utamkemea fisadi wakati wewe mwenyewe umejawa na roho ya kifisadi?...kama una hasira na maisha, tulia kijana,just relux and take it easy, piga kazi utafanikiwa tu kwa njia halali OK!


Thanks mkuu jamaa naona alikuwa anaongea nadhani alikuwa hajui nini anaongea,na sijui nani ali mlazimisha achangie hii topic,ila asante sana mkuu kwa ushauri wako.
 
Papizo

Kwanza wacha uongo ati wamekuwekea fweza, unaharibu topics hapa badala ya watu kuzungumzia mambo ya maana unaleta porojo. Banks hata siku moja hawalali hadi wabalance vitabu vyao upo hapo? maswali ya kizushi mpelekee Shekh Yahya swaiba wa Ikulu.


Ubungoubungo

Wacha tamaa wewe kama huelewi kitu kaa kimya maswali ya kizushi hujibiwa kizushi. Wewe mgeni vipi?
 
Papizo

Kwanza wacha uongo ati wamekuwekea fweza, unaharibu topics hapa badala ya watu kuzungumzia mambo ya maana unaleta porojo. Banks hata siku moja hawalali hadi wabalance vitabu vyao upo hapo? maswali ya kizushi mpelekee Shekh Yahya swaiba wa Ikulu.


Ubungoubungo

Wacha tamaa wewe kama huelewi kitu kaa kimya maswali ya kizushi hujibiwa kizushi. Wewe mgeni vipi?

kwa kifupi, hata mimi nilishawai kuingiziwa hela zisizo zangu. nilienda kuwaambia wanarekebisha. bwana mdogo, UAMINIFU NI MTAJI, siku zote ukiwa mwaminifu ni mtaji mkubwa sana kuliko hata pesa....jifunze...nafikiri wewe ndo unaongea usichokijua kabisa...tamaa gani tena jamani, unasema mi niache tamaa..soma vizuri post yangu uone kama mi nina tamaa...ila wewe unayetaka alale mbele na pesa, ndo mwenye tamaa tena ya wiziwizi...mimi si mgeni, angalia hapo tuna status sawa tu na wewe so pengine we ndo mgeni humu kuliko mimi. acheni wiziwizi na uchawi wenu wa shehe yahya...nijibu kwanza, ulienda mbingu ya wapi? au ulikuwa umelewa wakati unaandika?
 
Papizo

Kwanza wacha uongo ati wamekuwekea fweza, unaharibu topics hapa badala ya watu kuzungumzia mambo ya maana unaleta porojo. Banks hata siku moja hawalali hadi wabalance vitabu vyao upo hapo? maswali ya kizushi mpelekee Shekh Yahya swaiba wa Ikulu.


Ubungoubungo

Wacha tamaa wewe kama huelewi kitu kaa kimya maswali ya kizushi hujibiwa kizushi. Wewe mgeni vipi?

Mkuu nina kazi nyingi sana za kufanya na sio nakaa tu nyumbani bila kufanya kazi,watu tunafakazi za maana sasa kama wewe huna la kuongea na kukaa kuponda muda wote wala sina time ya kubishana na wewe zaidi nitasema nakuignore mzee,Take ur time na mimi natake time yangu pia kabla hujapalamia watu kaa kwanza uizoee JF nadhani itakusaidia sana,Pia upitie michango ya watu kwenye hii topic then check wangapi wamesema kwamba wameshaingiziwa hizo za bahati mbaya kama hizo,Acha wivu mzee watu hatukai kutegemea kuwekewa pesa ndogo kama hizo.

kwa kifupi, hata mimi nilishawai kuingiziwa hela zisizo zangu. nilienda kuwaambia wanarekebisha. bwana mdogo, UAMINIFU NI MTAJI, siku zote ukiwa mwaminifu ni mtaji mkubwa sana kuliko hata pesa....jifunze...nafikiri wewe ndo unaongea usichokijua kabisa...tamaa gani tena jamani, unasema mi niache tamaa..soma vizuri post yangu uone kama mi nina tamaa...ila wewe unayetaka alale mbele na pesa, ndo mwenye tamaa tena ya wiziwizi...mimi si mgeni, angalia hapo tuna status sawa tu na wewe so pengine we ndo mgeni humu kuliko mimi. acheni wiziwizi na uchawi wenu wa shehe yahya...nijibu kwanza, ulienda mbingu ya wapi? au ulikuwa umelewa wakati unaandika?


Mzee achana nae huyu kijana naona bado ndio kwanza kaingia humu ndani alafu anajifanya mwenyeji,then anaonekana mjuaji sana hata ukipitia mabandiko yake yote,

Achana nae mzee hajui alifanyalo na hajui nini anaongea ndio maana,Watu wengine bana sijui hawana kazi za kufanya au vipi,Eti alifika mbinguni anakujua mbinguni huyo au bangi nyingi zinamsumbua.Anyway mkuu thanks again kwa ushauri wako!
 
Soma contract yako na bank...Kisheria benki wana uwezo wa kuja kuichukua badae. Sasa kama wewe umeitumia...watachukua yakwako! That is the law at least of where i reside!
Exactly. Waombe bankers wako wakujulishe pesa hizo zilipotoka ili kudhibitisha kama kweli ni zako. Kama si zako na ukazitumiea sheria inakutia matatani. You're required to question any entry in your account that you doubt.
Mimi ni mifano mingi tu. Wa kwanza jamaa alizidraw akatumbua kwelikweli, after a week wakamjia na kutaka hela zao - utetezi kuwa nilifikiri kuna mtu amenitumia haukusaidia, aliulizwa ni nani huyo aliyetaka kukutumia ili tumbane atume? Kimyaa! Ilibidi sisi wadhamini wake tumuwekee dhamana tena kuwa tutahakikisha analipa.
Mimi mwenyewe ziliingia hela kwenye account yangu bila kujua ni za nini - nilipowauliza walinieleza kuwa ni interest ambayo system haikuwa imeicalculate na kuipost on time - nikaitumia bila wasiwasi,
Wanaokushauri kutumia hiyo pesa hawakutakii mema - jaribu uone halafu utujuze humu jamvini yatakayokukuta
 
Back
Top Bottom