Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,655
Karibia kila siku ninapokuwa nimelala usiku wa manane kama saa tisa hiv nasikia kitu/ mtu anakula mifupa ndan ya chumba nilicholala kwa woga naogopa kuamka ili nione ni nini? Tafadhali nisaidieni tena siku sinavyosonga ninanyongwa na kupigwa mateke usiku kama tena nimeota chumba changu kina maiti anayeongea mara yule maiti akaanza kunipiga na ****** kama wachawi wanavyogonga mlango! Nimechoka kabisa kwa mana sina furaha hata kitu cha furaha kikijitokeza huwa najisemea moyon lait watu wangejua ni nin kiko ndan yangu! Ingekuwa afadhali