Osaba JF-Expert Member Apr 10, 2011 1,937 772 Feb 17, 2012 #21 dudupori said: Tingisha kitu cha VALUE mwanangu utajickia pouwa kinoma. Click to expand... Anza na mnazi au ulanzi sio chungu ni tamu balaa!
dudupori said: Tingisha kitu cha VALUE mwanangu utajickia pouwa kinoma. Click to expand... Anza na mnazi au ulanzi sio chungu ni tamu balaa!
egbert44 JF-Expert Member Mar 17, 2006 381 57 Feb 17, 2012 #22 Omba kazi ya uwaiter utazinywa kichizi maana walevi huwa wanabakisha pombe kwenye glass au chupa! maana huna senti za kujinywesha jinsi navyokuona
Omba kazi ya uwaiter utazinywa kichizi maana walevi huwa wanabakisha pombe kwenye glass au chupa! maana huna senti za kujinywesha jinsi navyokuona
Vodka JF-Expert Member Jan 5, 2012 906 96 Feb 17, 2012 #23 Dah kama utashindwa vodka ni bora usinywe pombe.Welcome in our kingdom