Msaada wa email za Watu hawa.

BabaDesi

JF-Expert Member
Jun 30, 2007
6,032
3,944
Shalom Waungwana. Tafadhali sana naomba kwa yeyote mwenye email za watu hawa anisaidie:


James Mbatia - Mgombea Ubunge Jimbo la Kawe.
Mustafa Sabodo - Mfanyabiashara.
Mohamed Dewji - Mbunge wa Singida mjini.


Natanguliza shukurani nyingi kwa msaada.
 
JF! Hakuna mwenye email adress za hawa ndugu tafadhali??
 
Back
Top Bottom